Sheria ya mwaka 1978 iliyotumiwa na waziri wa vijana na michezo mh. E nchimbi kuwakandamiza waschana wanao pata uja uzito wasiendelee na masomo inawalenga wanafunzi wanasoma shule za serikali.je wanaosoma shule za binafsi mbona wao huendelea na masomo kawaida.atoe takwimu kwa wale waliorudi baada ya kujifungua wameambukiza wangapi kupata uja uzito?