Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,314
- 33,108
kama kuna aliewahi kutumia senti kama hii na anyooshe mkono. we! mtimkubwa-mkavu, acha! hujazikuta hizi, labda kidoooogo ndesanjo na mark.
1964 ilipoanza hiyo Senti ndio mwaka niliozaliwa je wewe Au Mwana J.F. ulikuwa na miaka mingapi?Au hujazaliwa? Kuna Mtu yoyoyte katika hii J.Forums ameshawahi kuitumia hiyo Senti ya kikoloni?