Sensa

Amoney

New Member
Dec 29, 2011
1
0
Hivi jamani inaingia akilini kweli pale ambapo viongozi wa serikali wanaposhindwa kuwaeleza wananchi umuhimu wa sensa na kuishia kuwapiga mkwara kuwa watakwenda jela miezi sita au faini lakini sita,je huku ni kuonyesha uwezo mdogo wa viongozi wetu?
 
Back
Top Bottom