Sensa ya idadi ya watu na makazi 2012

KiuyaJibu

JF-Expert Member
Aug 29, 2007
841
175
Hii ni sensa ya tano(05) tangu Tanzania ipate uhuru wake.Wananchi wanaombwa wawe tayari kujibu maswali kuanzia 1-37 au 1-62;hii ina maana kwamba kuna watu watakaojibu maswali 37 na kuna wengine watakaojibu maswali 62, na hii ni kwa mujibu wa dodoso la sensa 2012.

Zoezi hili litaanza usiku wa tarehe 25/08/2012 kuamkia tarehe 26/08/2012 na litadumu kwa siku saba (07).Sensa hii ni muhimu kwa mtu mmoja mmoja na kwa tathimini ya mipango ya nchi kwa ujumla;na sensa hii ni muhimu zaidi ya hizo sensa nne(04) zilizopita.

Watakao hesabiwa ni wale wote wataokuwepo ndani ya nchi katika kipindi chote cha zoezi hili nyeti kitaifa;na mtu anahesabiwa mara moja tu na siyo vinginevyo.
 
Hii ni sensa ya tano(05) tangu Tanzania ipate uhuru wake.Wananchi wanaombwa wawe tayari kujibu maswali kuanzia 1-37 au 1-62;hii ina maana kwamba kuna watu watakaojibu maswali 37 na kuna wengine watakaojibu maswali 62, na hii ni kwa mujibu wa dodoso la sensa 2012.

Zoezi hili litaanza usiku wa tarehe 25/08/2012 kuamkia tarehe 26/08/2012 na litadumu kwa siku saba (07).Sensa hii ni muhimu kwa mtu mmoja mmoja na kwa tathimini ya mipango ya nchi kwa ujumla;na sensa hii ni muhimu zaidi ya hizo sensa nne(04) zilizopita.

Watakao hesabiwa ni wale wote wataokuwepo ndani ya nchi katika kipindi chote cha zoezi hili nyeti kitaifa;na mtu anahesabiwa mara moja tu na siyo vinginevyo.
Vipi kile kipengele chetu muhimu kimeshawekwa au bao ?
 
vip kuhusu Watanzania waliopo nje ya nchi kwa maana ya safari na shughuli nyinginezo...utaratibu ukoje?
 
Naombeni maswali yenu mlioyauliza niyafanyie kazi pindi nitakapopewa nafasi ya kuwasiliana na Commissioner.Ili anijuze vizuri kulingana na maswali mlivyo uliza.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom