kumbe sawa na ile habari ya ulimboka na tukio la polisi. kwa heriPicha ya nani? Ponda aliacha taarifa zake nyumbani mkewe ndo kazitoa sasa Ponda akapigwe picha msikitini akipata UDHU au wakati AMEINAMA?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe sawa na ile habari ya ulimboka na tukio la polisi. kwa heriPicha ya nani? Ponda aliacha taarifa zake nyumbani mkewe ndo kazitoa sasa Ponda akapigwe picha msikitini akipata UDHU au wakati AMEINAMA?
Kwa mujibu wa serikali yetu wangempiga picha,PONDA AMEKANUSHA KUPITIA REDIO IMAN,NADHAN HAYO MAGAZET NA WAANDISH WANGEMUHOJ PONDA
Picha ya nani? Ponda aliacha taarifa zake nyumbani mkewe ndo kazitoa sasa Ponda akapigwe picha msikitini akipata UDHU au wakati AMEINAMA?
point hapa ni sensa.
Suala la kujitoa mhanga is another issue.but kujitoa mhanga kwa ajili ya wengine hutokea popote.hata samson alijitoa,according to christian hata jesus alijitoa (according to xsitian not me).wapingania uhuru kama lumumba,steve biko.NOTHING NEW HERE.
."tufunge milango tupigane"...............
Kama ni unafiki basi ni unafik wa kutupwa. Mbona mimi hivi sasa nasikiliza Radio Imani na akina Ponda wanakanusha kuwasaliti wenzao na kwenda kuhesabiwa.
Nimesikiliza sana Radio hiyo kuna mada inayosema "Vyombo vya Habari vinavyotumika kuwafarakanisha Waislamu" Kuna maneno mengi humo ikiwemo hukumu kwa wazandiki, wanafiq na watu wenye husda. Hukumu ni kali ikiwemo kichwa cha mzandik kuletwa mezani.
Sasa Ponda aangalie kama kweli kawasaliti wenzake asije akapewa fwatwa inayomsitahili toka kwa Maulamaa.
Sasa nimekuelewa vizuri sana mkuu, asante kwa ufafanuzi.Nazungumzia wenye alkaeda views,wako magaidi wa aina nyingi tu ie "NARC"
Ugaidi ni kuterrorize jamii isiishi peacefuly,umeelewa?