Rasib
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 395
- 45
Wadau huku kwe2, wilaya ya Mbulu Manyara leo kimetoke kitendo cha ajabu ambacho kwangu mimi ni cha ajabu sana kwa sababu zaidi ya makarani 80 wamefutiwa ukarani wao bila ya kupewa hata kumi ya fedha zao tangu tar 13, hasa sisi wa dodoso fupi ambao tulianza mafunzo (semina) tar 13 mpaka leo, 2mefukuzwa kazi hyo eti kwa sababu budget ya nchi haitoshi! Wadau nisaidieni haya ni yakwel au ndo kuchumia tumbo? Afu kuna fununu eti Chadema ipo pembembeni