Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Mkuu wa mkoa wa Dodoma ametishia kuwachukulia hatua kali viongozi/watendaji wa kata na vijiji ''watakaohujumu'' zoezi la sensa mkoani humo kwa kisingizio cha kukosa/kutolipwa posho.
Source: ITV habari saa 2 usiku.
MY TAKE:
Kama viongozi wa juu wa serikali wanalipana posho kubwa kubwa na zimetengwa fedha za kutosha (mabilioni ya shilingi) katika bajeti ya serikali.
Hata wabunge walilipwa shilingi milioni moja kila mbunge kwa ajili ya uhamasishaji majimboni mwao, serikali inatoa wapi kigugumizi cha kuwalipa watendaji wa ngazi za vijiji na kata?
Source: ITV habari saa 2 usiku.
MY TAKE:
Kama viongozi wa juu wa serikali wanalipana posho kubwa kubwa na zimetengwa fedha za kutosha (mabilioni ya shilingi) katika bajeti ya serikali.
Hata wabunge walilipwa shilingi milioni moja kila mbunge kwa ajili ya uhamasishaji majimboni mwao, serikali inatoa wapi kigugumizi cha kuwalipa watendaji wa ngazi za vijiji na kata?