Wandugu me nashndwa kuwaelewa hawa wa2 wa sensa,watapangaje tar za kuanza semina hafu wanahairisha without any Information ktk ofc za kata na hata maeneo waliyopanga kwa hzo semina.Jambo la m2 kwenda mpaka ktk eneo hafu hakuna taarifa na ukizingatia enen lenxewe ni mbali ka twakomoana vile,cjui lengo lao ni nin.Wajue kuwa hela twaitaka bt c kwa kutesana hvyo bila taarifa kamili.Cjui wadau mwalichukuliaje hilo!!!