Juma Bundala
Member
- Mar 9, 2012
- 71
- 5
kimsingi sensa huwa ni kujua idadi wa watu,mali zao,pamoja na mahitaji ya msingi ktk jamii.Nitofauti na inavyotarajiwa watu hupoteza muda wa kuhesabiwa kwa mwamvuli wa kuja kuwa saidia hususan huduma za afya,barabara,maji,umeme,shule safi,kuboresha bei ya chakula,nk.Kwamba huduma hizo zote zitanda vijiji vyote TZ lakini hadi sasa vijiji vingi nchi pamoja na baadhi ya Wilaya za TZ hazina huduma muhimu kama lizo zitaja mfano kijijini kwetu hakuna kabisa.Swali ni je Serikali ina nini cha kuwashawishi tena watu wa vijiji hivyo ili iwaesabu?