MAKOLE
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 618
- 280
Semina za sensa zinaendelea karibu nchini kote katika Tanzania huku kukiwa na habari kwamba asilimia kubwa sana ya walimu ambao walidhaniwa ndio wangeliendesha zoezi hilo wakiwa nje ya semina hizo, kwa maana ya kwamba wameachwa katika zoezi. Kwa mfano, sehemu kubwa ya walimu katika Manispaa ya Tanga hawapo katika hilo zoezi.
Hali hii inanifanya nishindwe kupata uhusiano kati ya zoezi hili la sensa na kufungwa kwa shule zetu!
Hali hii inanifanya nishindwe kupata uhusiano kati ya zoezi hili la sensa na kufungwa kwa shule zetu!