Sensa: CCM itavuna mbegu ya udini iliyopandikiza katika Taifa, it's pay back time!

Wanajamvi habari zenu, leo baada ya swala ya Ijumaa waislamu ndio wametoa picha sensa hii itakuwa ya aina gani. Jibu ni kama kuchakachuliwa kwa matokeo ya uchaguzi na sio figure halisi. Tuwekeni ushabiki pembeni serikali ya sisiemu inavuna ilichopanda kwani propaganda zina ukomo wake. BAKWATA nao wakikaa kny Tv wanawahadaa watanzania kuwa hali ni shwari na waislamu wote watashiriki sensa, jamani eeh uongo uongo na tena uongo, kumbukeni bakwata inawakilisha wazee wachache sana wakiislamu tena wachache mnoo. Madhehebu ya kiislamu yote lao moja except bakwata. Swali linakuja je tunalazimisha ili kuleta ubabe kma ada yake ilivyo? Kwa nchi zilizo serious wananchi wangeingilia kati kuokoa Billion 141 zisipotee za sensa. Kwa walio karibu na misikiti leo watakubaliana na mie nini ninachosema. Tutarajie uchakachuaji wa matokeo na sio idadi halisi. Au hii plan imewekwa ili ipatikane pesa za kampeni hizi billion huku wakijua zoezi litafeli?? Nawakilisha wadau
 
Baadhi ya waislamu wachache wanataka kuifanya serikali isitimize malengo yake. Nashauri serikali imlazimishe Issa Ponda aongee kwenye vyombo vya habari na kuwaomba waislamu wote washiriki kwenye sensa. Vinginevyo....
 
Baadhi ya waislamu wachache wanataka kuifanya serikali isitimize malengo yake. Nashauri serikali imlazimishe Issa Ponda aongee kwenye vyombo vya habari na kuwaomba waislamu wote washiriki kwenye sensa. Vinginevyo....
Mkuu waislamu walio wengi ndo wanapinga. Na pia ni ngumu sana kumhadaa Ponda, rahisi kumnunua Mufti na bakwata hata kwa ubwabwa na sio akina Ponda.
 
Kweli mtoa mada hata mimi msikitini niliosali leo mada ni hiyohiyo,na nimewauliza rafiki zangu toka mikoa mbalimbali mada leo ni hiyohiyo,kwakweli mimi naona zoezi limefeli hata kabla ya siku ya Tar.27
 
Polisi Watawaonyesha Watanzania kuwa Taifa lipo kwa kuwafundisha Adabu Waislam Wasio na Elimu hata ya Sensa. Mfano Mzuri ni KIGOMA,KILIMANJARO na TANGA. Masheikh Wapo Ndani Tayari
 
Kweli mtoa mada hata mimi msikitini niliosali leo mada ni hiyohiyo,na nimewauliza rafiki zangu toka mikoa mbalimbali mada leo ni hiyohiyo,kwakweli mimi naona zoezi limefeli hata kabla ya siku ya Tar.27

Sina uhakika na unachokiongea. Suala la mtu kukubali kuhesabiwa au la ni la mtu binafsi na sio kikundi au dini fulani. Pia sio busara kwa masheikh kuwalazimisha watu wasihesabiwe kwani kila mmoja ana uhuru wake na maamuzi yake binafsi, sheikh awe kama kiongozi wa imani na siyo kiongozi wa akili na maamuzi ya mtu mmoja mmoja.
Siamini kama zoezi la sensa litafeli kama vile wengi wenu mnavyotaka kujiaminisha, serikali ina uwezo wa kupata idadi kamili ya watu kwa kupitia kwa mabalozi wa mitaa hata mkijifungia misikitini siku ya sensa.

Amkeni kutoka kwenye usingizi wa kushikiwa akili na akina Ponda!!
 
SENSA kwa maendeleo kama mwataka maendeleo hamna budi kuhesabiwa ili serikali iweze jua ina wananchi kiasi gani ili iweze kupanga mambi vizuri ni miaka 10 toka tumehesabiwa ili mipango ifanyike kuhesabiwa inatubidi mimi sipingi na hata familia yangu wako tayari kuhesabiwa
 
Sina uhakika na unachokiongea. Suala la mtu kukubali kuhesabiwa au la ni la mtu binafsi na sio kikundi au dini fulani. Pia sio busara kwa masheikh kuwalazimisha watu wasihesabiwe kwani kila mmoja ana uhuru wake na maamuzi yake binafsi, sheikh awe kama kiongozi wa imani na siyo kiongozi wa akili na maamuzi ya mtu mmoja mmoja.
Siamini kama zoezi la sensa litafeli kama vile wengi wenu mnavyotaka kujiaminisha, serikali ina uwezo wa kupata idadi kamili ya watu kwa kupitia kwa mabalozi wa mitaa hata mkijifungia misikitini siku ya sensa.

Amkeni kutoka kwenye usingizi wa kushikiwa akili na akina Ponda!!

Hapo kwenye RED ndo kitu walichopaswa kufanya,
badala ya huu mzunguko wanaotaka kupitia...
 
Watanzania wengi tunataka kuiondoa ccm madarakani sasa takwimu sahihi zisipokuwepo hii itakuwa ngumu. Ila tukihesabiwa tutafika mbali kimaendeleo kwani hizi takwimu ndio zitatumika kuallocate mapato kwenye jamii zetu.
Tuungane tuweke pembeni siasa,udini,kabila tuhesabiwe kwa maendeleo yetu na familia zetu
 
Wanajamvi habari zenu, leo baada ya swala ya Ijumaa waislamu ndio wametoa picha sensa hii itakuwa ya aina gani. Jibu ni kama kuchakachuliwa kwa matokeo ya uchaguzi na sio figure halisi. Tuwekeni ushabiki pembeni serikali ya sisiemu inavuna ilichopanda kwani propaganda zina ukomo wake. BAKWATA nao wakikaa kny Tv wanawahadaa watanzania kuwa hali ni shwari na waislamu wote watashiriki sensa, jamani eeh uongo uongo na tena uongo, kumbukeni bakwata inawakilisha wazee wachache sana wakiislamu tena wachache mnoo. Madhehebu ya kiislamu yote lao moja except bakwata. Swali linakuja je tunalazimisha ili kuleta ubabe kma ada yake ilivyo? Kwa nchi zilizo serious wananchi wangeingilia kati kuokoa Billion 141 zisipotee za sensa. Kwa walio karibu na misikiti leo watakubaliana na mie nini ninachosema. Tutarajie uchakachuaji wa matokeo na sio idadi halisi. Au hii plan imewekwa ili ipatikane pesa za kampeni hizi billion huku wakijua zoezi litafeli?? Nawakilisha wadau
wakuu nimekuta hii kitu mahali fulani.hivi watu kama hawa si ndio wanatafutwa na serikali?
 

Attachments

  • MSIMAMO WA WAISLAMU JUU YA SENSA - 1.pdf
    38.2 KB · Views: 185
  • MSIMAMO WA WAISLAMU JUU YA SENSA - 2.doc
    58 KB · Views: 97
Ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha!
Mgomo wa Walimu CCM wamekimbili mahakamani, mgomo wa madaktari CCM wamekimbilia mahakamani, sasa nasubili kuona huu mgomo wa Waislamu CCM watakimbilia wapi? au yale yale wanachochewa na Chadema?
 
Mkuu Matola, umeongea facts 100%. Sensa ya muongo (decade) huu imekuwa na irregularities kibao likiwepo hili la UDINI uliopitiliza; UDINI ambao kimsingi mlezi wake ni CCM.

Pili, angalau kwa uzoefu wangu mdogo, inaonekana kuwa desturi sasa kwamba suala lolote linalohusiana na USAJILI (registration) hapa nchini ni tabu tupu na kasoro kibao angalau kwa reference ya haya yafuatayo:-

(i)
DAFTARI la mpiga kura (kila baada ya miaka mitano hivi): hili ndio usiseme; hili halikuwahi kuwa efficient almost tangu lianzishwe. Zoezi la usajili litaanza, deadline zitatolewa, watu hawataenda, muda utaongezwa, watu watenda siku ya mwisho, n.k. Mbaya zaidi hata wale wachache watakaondikishwa, asilimia kubwa hawataonekana kwenye orodha siku ya kupiga kura. Mimi ni miongoni wa walioathirika na hili 2010. Mhusika mkuu hapa ni Serikali kupitia Tume ya Uchaguzi (NEC).

(ii)
Sensa (kila baada ya miaka 10): Hili nalo kipindi hiki ndio hivyo tena; ni worse than failure na sababu kuu ndio kama ulivyokwisha kueleza - propaganda zilizochochewa kwa muda na CCM na sasa ni "wakati wa mavuno". Mhusika mkuu hapa ni Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Takwimu.

(iii)
Usajili wa Simu: Hili lilikuwa ni kama ad-hoc exercise kipindi kile japo kama kawaida ya mipangilio yetu mibovu ikichagizwa na desturi zetu imagine deadline inakuwa extended for one year! Hii iliwahi kutokea Tanzania pekee. Ilionesha ni kwa jinsi gani maandalizi yalivyokuwa duni. Mhusika mkuu hapa alikuwa TCRA kupitia makampuni ya simu.

(iv)
Vitambulisho vya Utaifa: Hili sina haja ya kueleza mengi; kila mtu anajua kichofanyika hususan Dar es Salaam. Mhusika mkuu ni Serikali kupita NIDA.

Yaani in short hatujawahi kuwa na usajili madhubuti, lazima at some point tuvurunde! Nadhani tunahitaji wataalamu watafiti watusaidie katika hili; ni kwa nini inakuwa hivyo licha ya mabilioni ya shilingi kutengwa kwa shughuli hizo?
Kuna tatizo la msingi somewhere na ni CCM wanaotakiwa kutoa majibu ya kina.
 
Back
Top Bottom