Sensa: CCM itavuna mbegu ya udini iliyopandikiza katika Taifa, it's pay back time!

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
56,278
92,340
Yes its pay back time,

Matola siku zote unafiki kwangu mwiko, mimi ni miongoni mwa watu tuliofurahishwa na ninaendelea kufurahishwa huku nikicheka meno yote 32 nje.

Kwanini nafurahi? Ni kwa sababu kwa miaka nenda rudi CCM imeigeuza jamii ya Waislamu na hasa BAKWATA kama chombo chao cha kufanikishia maslahi yao, na pale linapokuja swala la waislamu kuomba madai yao basi huishia kwenye ghiriba tu.

Twende taratibu:
Mahakama ya kadhi: Huu ni mkenge CCM waliingizwa na Augustine Mrema ambaye aliwaahidi Waislamu kama angeshinda Urais basi angerudisha Mahakama ya kadhi, nao CCM kwa sababu ni mabingwa wa kuiga bila hata ya kufikiri nao wakaingiza kwenye ilani yao swala hili na mbaya zaidi Rais ni Mwislamu lakini anashindwa kutimiza ahadi halali iliyomo ndani ya chama chake.

Igunga:
Baada ya CCM kuona maji yapo shingoni waliamuwa kununuwa Bakwata na kuendesha kampeni za kidini eti Chadema kisipigiwe kura na Waislamu kwa sababu kimedhalilisha Mwanamke wa Kiislamu anayedhini na Mkristo Fatuma Kimario.

CCM kana kwamba hakielewi madhara ya Propaganda hizi chafu imekuwa ni silaha yake kusema Cuf ni chama cha Waislamu na Chadema ni Chama cha Wakristo, ila tu wao ndio hawajajitambulisha bado je ni chama cha shetani?

Kwa uchache tu niseme hili swala la Waislamu kugomea Sensa mimi nawaunga mkono kwa 100% angalau labda linaweza kuwa fundisho la kufungamanisha dini na siasa, kama CCM isingekuwa inaendesha Propaganda za kidini haya yasingekuwepo ndio maana nasema Yes is pay back time.

Tukumbuke hata kule Congo kwa kuendekeza ujinga kama huu kanisa Katoliki nalo lilikuwa na waangalizi wake kwenye ule uchaguzi na mpaka leo Kanisa katoliki Congo halimtambui Joseph Kabila kama Rais halali, na kanisa linayo matokeo yake ya ule uchaguzi. huu ndio uppuzi ambao CCM wanataka kutufikisha.
Tujadili.
Wakuu hapa JF

Kama ambavyo tayari kuna baadhi ya members wametoa taarifa hapa jamvini juu ya mkutano mkubwa wa hadhara uliofanyika leo katika Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine, umemalizika saa 12 jioni ambapo viongozi mbalimbali na wabunge kadhaa wa CHADEMA, wote wakiongozwa na Katibu Mkuu, Dkt. Willibrod Slaa wamehutubia maelfu ya wakazi wa mji wa Igunga na vitongoji vyake.

Kama ilivyo kawaida kwa Watanzania, mwitikio wa wana-Igunga pia kwa chama chao, kinachobeba matumaini yao na ya Watanzania wenzao ndani na nje ya nchi ulikuwa mkubwa, wakiendelea kudhihirisha utayari wao wa kushiriki na kumiliki mchakato wa mapambano haya ya awamu ya pili, ambapo kupitia M4C, Watanzania wanajiandaa kwa mabadiliko makubwa ya kimfumo na kikatiba.

Dkt. Slaa ametoa shukrani kwa wananchi wa Igunga kwa mshikamano mkubwa waliouonesha kwa chama chao CHADEMA na kwa mwanachama mwenzao, Joseph Kashindye (aliyekuwa mgombea ubunge Igunga), pia shukrani za dhati kwa mawakili, Profesa Abdallah Safari na Gasper, walioonesha na kudhihirisha hazina ya utaalam mbalimbali ambao chama hicho kinao.

Kisha akatoa salaam za pekee kutoka kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Kamanda Freeman Mbowe ambaye yuko nje ya nchi (Houston Marekani) kikazi, akisema yuko pamoja na wana Igunga katika harakati za kudai haki zao, salaam kutoka kwa Mjumbe wa Kamati Kuu, Prof. Safari ambaye hakuwepo (akisema anawapenda sana watu wa Igunga) na salaam kutoka kwa wanachama wa tawi la Reading, Uingereza.

Baada ya shukrani na salaam hizo, Dkt. Slaa akarudia kauli yake ambayo ameitumia katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Morogoro katika mikutano ya Operesheni Sangara-M4C, kuwasisitiza wananchi, bila kujali tofauti zao za kiitikadi, kushiriki katika zoezi la sensa litakalofanyika kuanzia usiku wa leo, Agosti 26, huku akirusha kombora kuwa mvurugano unaondelea juu ya suala hilo, ni matokeo ya 'sera' ya CCM na Rais Kikwete, kupandikiza udini, wakati kwa Watanzania hiyo haijawahi kuwa 'issue' kwao.

"Wananchi na Watanzania wenzetu wa Igunga napenda kutumia fursa hii kuwasihi Watanzania wote kushiriki zoezi la sensa ya watu na makazi ambalo litafanyika usiku wa leo. Natoa mwito wa Watanzania wote bila kujali tofauti zao zozote zile, zikiwemo za dini, kushiriki shughuli hii muhimu. Ni muhimu tukajua idadi ya watu na makazi yao ili iwe rahisi kuweza kupanga mipango yetu.

"Itakuwa rahisi kuibana serikali hii inayoelekea siku zake za mwisho mwisho, kwa mfano kila eneo lenye idadi ya watu 5000 inatakiwa kuwa na zahanati, kila eneo lenye watu wanaofikia 25,000, linatakiwa kuwa na kituo cha afya, hivyo ni rahisi kuweza kuwabana na kuhoji kwa nini wananchi hawa hawana huduma muhimu za jamii.

"Lakini pia wananchi, sisi au watoto wetu wakikosa huduma muhimu kama elimu, maji au afya, haitaangalia dini, sote tutakosa bila kujali dini zetu, elimu yetu, wala huduma za afya hazitolewi kwa kufuata misingi ya dini, tukikosa tunakosa wote bila kujali wewe ni dini gani, bila kujali wewe ni shehe au wewe ni askofu, tukikosa tutakosa wote.

"Haya yanayotokea hivi sasa katika suala la sensa, masuala ya dini ni matokeo ya sera za CCM na akina Kikwete kupandikiza udini kwa Watanzania. Tunawaambia CCM na Kikwete kuwa suala la udini wamelilea sasa linawapata vizuri. Kikwete ameendekeza udini sasa yamempata mwenyewe, wakati sisi tunakemea udini, CCM walikuwa wanaupalilia kwa propaganda zao.

"Kuendekeza udini ni kukiuka misingi yenyewe ya dini maana hakuna dini yoyote, hata katika Quran inazuia mtu kumbagua mwenzake kwa sababu ya dini yake, nimesoma juu ya comparative religion, hakuna dini inakubali ubaguzi, kuendekeza ubaguzi wa kidini ni kukiuka misingi ya dini yenyewe, vitabu vitakatifu vinazuia. Haya ni matokeo ya CCM kumomonyoa misingi yetu ya utaifa, huko nyuma sisi hatukuzoea haya, Watanzania wote tuliitana ndugu, hakuna mtu aliuliza au kujali dini ya mwenzake," amesema Dkt. Slaa.

More to come...

 
Kuna ukweli ktk andiko lako. Udini, ukabila, ukanda, ubaguzi wa kijinsia na yenye kufanana na hayo ni matunda ya kazi ya CCM. Kama wakati wa mavuno umewadia ngoja tuone.
 
Mkuu Matola nakuunga mkono kwa zaidi ya 100%, ngoja CCM wavune machungu ya udini
 
Last edited by a moderator:
Mahakama ya haki kabisa humu duniani ni mahakama ya "own conscious" na inatumia sheria ya "karma" ambayo malipo yake ni humu humu duniani!. By Pasco
 
Last edited by a moderator:
Ukitaka cha mtu sharti uliwe, Sasa ni zamu ya kuitafuna CCM. Mmeshatutumia vyakutosha tunadai nchi yetu na haki yetu kama Waislam. Tutaanza na la Sensa na tutayatimiza yote tunayotaka, rafiki wetu wakaribu tunae kama CCM.

1.Tunaanza na Sensa, ilikujua idadi yetu sisi Waislam na tukimaliza tunakuja na haya hapa
2. Kuirudisha mahakama ya Kadhi
3.Kujiunga na OIC
4. Kuitangaza Tanzania nchi ya Kiislam asiyetaka ahame, liwalo na liwe
5. Sharia Law
6. Wanawake kuvaa Hijabu, hutaki hama nchi
7. Kuwafukuza Wakiristu
8. Kurekebisha mfumo wa Elimu

Na mambo mengine yatafuatia taratibu, CCM tupeni Uhuru wetu, tumeshakusaidie sana na mmetutumia sana


 
Kuna wimbo unaimbwa " utavunaaaa ulichopandaaa,utavunaaa" bahati yao sijui nota ningeweka apa
 
Ukitaka cha mtu sharti uliwe, Sasa ni zamu ya kuitafuna CCM. Mmeshatutumia vyakutosha tunadai nchi yetu na haki yetu kama Waislam. Tutaanza na la Sensa na tutayatimiza yote tunayotaka, rafiki wetu wakaribu tunae kama CCM.

1.Tunaanza na Sensa, ilikujua idadi yetu sisi Waislam na tukimaliza tunakuja na haya hapa
2. Kuirudisha mahakama ya Kadhi
3.Kujiunga na OIC
4. Kuitangaza Tanzania nchi ya Kiislam asiyetaka ahame, liwalo na liwe
5. Sharia Law
6. Wanawake kuvaa Hijabu, hutaki hama nchi
7. Kuwafukuza Wakiristu
8. Kurekebisha mfumo wa Elimu

Na mambo mengine yatafuatia taratibu, CCM tupeni Uhuru wetu, tumeshakusaidie sana na mmetutumia sana



Mkuu dini zimeletwa tu na watawala. Tanzania ni ya kwetu. Sasa mkishamaliza kutufukuza, mtafukuza waislamu wote wachaga, wasukuma, wamakonde, wahaya, wanyaturu etc etc ili mbaki waislam wa kabila lenu tu?

Halafu bado umesahau, Shia na Sunni nao je? Aisee!
 
hayo ni matunda ya dhambi kubwa inayofanywa na ccm, "kikulacho kinguoni mwako"
 
Na baada ya hapo sote kama taifa tusubiri mashaibu ya kile kikundi hatari cha (2) GREENGUARD pamoja na silaha zao za kiChina zisizosajiliwa zile.

Nao pia ule utaratibu wa kuibia taifa bila hata ya kofuli moja kuvunjwa kule benki kuu sasa nao umekua nongwa na mahela ya wavuja jasho sie kuanza kutengeneza milima kule kwenye benki za Uswisi; yuko wapi wa kuwazuia
(3) MAFISADI kutuaibisha kma taifa kupenyeza rushwa kila mahali hadi kwenye kamati zetu bungeni???

Hata mbegu ya
(1) UANAMTANDAO tuliuotesha wenyewe na kulinyunyizia maji sawa na mchicha na kulimiminia mbolea sawa na MANANASI YA GHANA na hivi leo 'UANAMTANDAO' umekua mbuyu unatupasua mgongo hadi watu tunashindwa hata pa kupita ndani ya taifa hili.


I agree with you! si unajua what comes around goes around!
 
Mshahara wa dhambi ni umauti.Nabado yatatokea mengi zaidi ya haya na yenye madhara makubwa kwa jamii,Kule zanzibar mpaka leo kimya hatujui linaloendelea huko.Kama kusipo chukuliwa hatua mapema na Kufungia baadhi ya magazeti na radio zinazo ripot mambo ya dini vibaya na kuwasema viongozi wetu wadini tutaona mengi sana nayenye kuleta madhara kwa jamii.Mimi mwenyewe naunga mkono waislamu ili iwe fundisho na tuweze kujifunza kwa makosa.
 
attachment.php
 
Ujanja mwingi mbele giza, jana kwa masikio yangu nimemsikia John Guninita wakati anachukuwa fomu ya kutetea kiti chake cha Uenyekiti wa CCM Dar, aliwaambia wanaCCM wenzake kwamba waandae vijana mahili wa kuweza kujibu mapigo ya wapinzani kwenye mitandao na kuwaandaa makada wa kupanda majukwaani wakati wa kampeni badala ya kuendelea kuwanunuwa wapinzani ili waje kuwabomoa wapinzani wenzao.

Sina haja ya kufafanuwa lolote hapa, nadhani wote kiswahili mnaelewa na mnajuwa Guninita alikuwa anasema nini na huwa wanafanyanya nini.

Ccm ni kujiandaa kuiondowa kwa nguvu, hiki ni chama cha kigaidi msitegemee kabisa CCM kuja kukabidhi madaraka 2015, huu ndio ukweli, hawa wang'olewe hata kwa Military option.
 
Aiseee baba yangu mtowa mada embu ni pm nikutumie kidumu cha mbege mkuu umeona mbali sana kwa kifupi nakuunga mkono mkuu

ngoja nipate mbege kidogo
 
Baba Mwana asha kalikoroga mwenyewe sasa alinywe yeye na misukule yake, hili limemganda vizuri sana, yaani mimi raha tupu jinsi jamaa anavyojikaanga kwa mafuta yake mwenyewe.
 
Ukitaka cha mtu sharti uliwe, Sasa ni zamu ya kuitafuna CCM. Mmeshatutumia vyakutosha tunadai nchi yetu na haki yetu kama Waislam. Tutaanza na la Sensa na tutayatimiza yote tunayotaka, rafiki wetu wakaribu tunae kama CCM.

1.Tunaanza na Sensa, ilikujua idadi yetu sisi Waislam na tukimaliza tunakuja na haya hapa
2. Kuirudisha mahakama ya Kadhi
3.Kujiunga na OIC
4. Kuitangaza Tanzania nchi ya Kiislam asiyetaka ahame, liwalo na liwe
5. Sharia Law
6. Wanawake kuvaa Hijabu, hutaki hama nchi
7. Kuwafukuza Wakiristu
8. Kurekebisha mfumo wa Elimu

Na mambo mengine yatafuatia taratibu, CCM tupeni Uhuru wetu, tumeshakusaidie sana na mmetutumia sana



Kaka samahani sana,tunaomba uache propaganda ambazo si madai ya waislam. Please yasiyo madai ya waislam tunaomba uachane nayo kwani hayakusaidii na ujue utapata malipo kwa kuandika upuuzi humu. Ivi ni lini uliwasikia waislam wakidai dai lako namba 4,5,6,na 7. Mchungaji acha propaganda, maana hayo ndiyo yanayowagarimu ccm. na kifo cha ccm ni tar 26 kesho kutwa.
 
Mkuu dini zimeletwa tu na watawala. Tanzania ni ya kwetu. Sasa mkishamaliza kutufukuza, mtafukuza waislamu wote wachaga, wasukuma, wamakonde, wahaya, wanyaturu etc etc ili mbaki waislam wa kabila lenu tu?

Halafu bado umesahau, Shia na Sunni nao je? Aisee!

kaka na wewe acha kudanganyika kizembe na propaganda za wana magamba. mawaidha yetu sisi huwa live kwenye microphone, ivi kuna siku hata moja umesha sikia waislam wakidai hayo yaliyoandika na huyo mzembe dai namba 4 hadi 7. uwe unatafakari kwanza.
 
Kaka samahani sana,tunaomba uache propaganda ambazo si madai ya waislam. Please yasiyo madai ya waislam tunaomba uachane nayo kwani hayakusaidii na ujue utapata malipo kwa kuandika upuuzi humu. Ivi ni lini uliwasikia waislam wakidai dai lako namba 4,5,6,na 7. Mchungaji acha propaganda, maana hayo ndiyo yanayowagarimu ccm. na kifo cha ccm ni tar 26 kesho kutwa.

Mashekhe wetu wameshasema hakuna kuhesabiwa sisi waislamu, mpaka kipengele cha dini kiwepo, kama hakipo hatukubali kuhesabiwa. Hayo Madai unayoyakataa yapo kwenye agenda yetu sisi Waislam, hutaki hama nchi. Tunadai Mahakama yetu ya Kadhi pamoja na kujiunga na OIC na Sharia Law.
 
Ukifuatilia historia ya HIV utajifunza mengi, moja, unaweza kufanya jambo lakini ukashindwa kukabiliana na matokeo yake. Udini ni janga lingine (kwa Tanzania).
 
Back
Top Bottom