bombu
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,127
- 542
Hiyo Sensa inawahusu nyie mlio kuwepo hapo Tanzania je na sisi hatupo hapo Tanzania itatuhusu kivipi? Au ndio hatuhesabiki kama ni Wa Tanzania? Mkuu Young_Master?
hee! kumbe haupo Bongo? Siku ukiwa unakuja njulishe nkupokee, then ntakusimulia habari zootee za sensa na umuhimu wake kwa mlio huko nje ya kwetu huku.