Elections 2010 Sensa 2002 Igunga: Waisalmu 89% Wakristo %9

Mgombea atakayeshinda atakuwa kati ya Peter Kafumu wa CCM, Joseph Kashindye wa CHADEMA au Leopold Mahona wa CUF, na kwa kuwa wote ni wakristu basi mshindi ni 100% mkristu.
 
Kutokana na sensa ya mwaka 2002, inaonesha kwamba waislamu wako asilimia 88, sasa hii wala haihitaji mathematics bali arithmetic tu ku project mshindi wa kiti cha ubunge Igunga. Mida ya kufunga hesabu imekaribia saaaana tupeleke kilio kwenye chama fulani.

Halafu kutunga habari hujui. Kwenye heading umeandika 89%, kwenye habari kamili umeandika 88%. Mananii yako
 
Unapaswa kuwa mkweli,sidhani kama takwimu za sensa za 2002 zilikuwa zinaonyesha idadi ya watu kwa pamoja na dini zao. Ninachofahamu ilikuwa zinaonyesha idadi ya watu pamoja na jinsia mf: wanawake na wanaume au watoto na watu wazima.

Nina wasiwasi wa elimu yako, uraia wako, fikra zako na jinsia yako km hata hujui sensa huwa inachukua takwimu gani ! jitoe humu jamvini
 
Sensa ya mwisho ambayo katika questionaire yake iliuliza dini ya mtu ni ile ya mwaka 1967 - ya kwanza baada ya uhuru. Baada ya hapo Nyerere aliliondoa kabisa suala la kuuliza dini ya mtu katika sensa.
 
Ewe ndugu yangu dume la mende tanzania ni bora kuliko vyama vipo na vitaondoka nakuomba musiweke tena sensa ya idadi ya udini hatujakuzwa hivo watz wote tu dugu moja tuijengeni nchi yetu udini utaibomoa. Hope umenielewa na utalifanyia kazi.
 
Kutokana na sensa ya mwaka 2002, inaonesha kwamba waislamu wako asilimia 88, sasa hii wala haihitaji mathematics bali arithmetic tu ku project mshindi wa kiti cha ubunge Igunga. Mida ya kufunga hesabu imekaribia saaaana tupeleke kilio kwenye chama fulani.

Naomba kwa mara ya kwanza hapa jamvini nikutukane!!! Wewe ni mpumbavu na sababu ni hizi hapa;

a) Kama majority ni waislamu kwa mtazamo wako waislamu wangewekewa mgombea mwislamu wangemchagua kwa kigezo cha dini. Sasa wote ni wakristu. Umethibitisha hapa kuwa kilio hakitakwenda kwa chama fulani bali waislamu wenyewe. Mshindi ni mmoja kati ya hawa wakristu!!!
b) Ndio maana waislamu wanashambuliwa kutokana na mawazo duni kama haya, udini na mazoea. Hivi kweli toka 2002 hakuna demographic change?? Hakuna mwislamu anayeona amekuwa na hali mbaya au nzuri zaidi kulinganisha na 2002? Je, ndio kusema waislamu hawana kingine cha kuangalia zaidi ya uislamu?? Halafu mkiambiwa nendeni na mabadiliko, mnataka sharia za mwaka 573BC ziwe applied leo.

Umenifadhaisha sana lakini nafarijika kuwa sikufahamu na jina lako linajieleza kabisa. Mende ni alama ya uchafu ndani ya nyumba, hata kama ni jike!!
 
Halafu we JIKE ;A MENDE, unafikri Igunga wanachagua Shekh??
By then Kati ya hao 89% ya Waislam, ni only 10% wenyekufikiria kama wewe ki masaburi masaburi.
 
kapakwa upupu kwenye masaburi yake ndo maana mawazo yake wakati anaandika alikuwa anafikiria upupu.
 
Aaaah inawezekana kweli Igunga hawa jamaa zetu ni wengi hivyo... Si nasikia kuna wakati hii wilaya ndio ilikuwa ya Kwanza kwa umaskini mkoani tabora na kuna dini zinahamasisha uvivu kwa kuwaambia waumini wakae vijiweni kula kashata na kunywa kahawa maendeleo yatakuja yenyewe na Alhaj JK aliahidi maisha bora kwa kila mwana Igunga na neti za bure wamegawiwa. Bravo wana igunga, chagueni magamba ili muendelee kula kashata
 
kwani wao waikiwa wenngi ndio sababu..mbona kigoma wapo kibao halafu upinzani kama kawaida..

Hebu achana na wapuuzi, sensa inayouliza dini na kabila la mtu ipo Kenya, Tanzania hakuna.

Pili, siku zote hawa jamaa hudai wingi lakini ukweli ni wachache tu. Na siku zote, wachache huwa na madai kuwa ni wengi ili kuwatisha washindani wao. Ukweli ni kuwa kama ni wingi labda wapo ukanda wa pwani tu, si zaidi.
 
Kutokana na sensa ya mwaka 2002, inaonesha kwamba waislamu wako asilimia 88, sasa hii wala haihitaji mathematics bali arithmetic tu ku project mshindi wa kiti cha ubunge Igunga. Mida ya kufunga hesabu imekaribia saaaana tupeleke kilio kwenye chama fulani.

kama kweli takwimu za kisahii jimbo litakuwa la CCM B maana wanapiga kampeni mpaka misikitini lgunga hapo.
 
Wee masaburi umeshafikisha ujumbe wa kiumbea na wakimasaburi kachukue posho kwa nepi wenu!
Mnadhani watz waleo wana akili kama magamba?kajipange ulete porojo mpya
 
Kutokana na sensa ya mwaka 2002, inaonesha kwamba waislamu wako asilimia 88, sasa hii wala haihitaji mathematics bali arithmetic tu ku project mshindi wa kiti cha ubunge Igunga. Mida ya kufunga hesabu imekaribia saaaana tupeleke kilio kwenye chama fulani.
Nasktika watu walojaza samadi na makamasi humo vichwani mwenu mtakapoisha na kufutika juu ya uso wa sayari hii ndipo hapo Tanzania itakapoanza kujikongoja kuelekea na kuyafikia maendeleo.

Poleni sana ndugu watz kwa kuwa na majitu kama haya miongoni mwa wanajamii.
 
Hivi jukwaa la chit chat sasa ndio imekuwa recycle bin ya mambo ya siasa uchwara. Eti sensa ya mwaka 2002
 
Hivi watanzagiza tumejazana humu kuijadili mada hii kweli ? badala ya kuwazomea Tanesco na Ngeleja hebu tuwazomee watu wote wenye fikra kama hizi.Mimi kama Mtanzania muislamu nafadhaika sana na mijadala kama hii.
Igunga wanachagua mbunge kwenda kuwakilisha jimbo bungeni swala la dini ya wapiga/wapigiwa kura inatoka wapi ? miaka nenda rudi wabunge wamechaguliwa katika maeneo ambayo wafuasi wa dini zao ni wachache kwa kuangalia uwezo wao.
Tusikubali mende watambe hata huko chooni.
 
Census ya Tanzania haichambui dini. Mara ya mwish ilikuwa 1967!!
 
Alaiwakubalu. Duh! hii balaa. Mwanangu kazania ilimu upate heshima. Madrasa yatakuja upupu.
 
Kutokana na sensa ya mwaka 2002, inaonesha kwamba waislamu wako asilimia 88, sasa hii wala haihitaji mathematics bali arithmetic tu ku project mshindi wa kiti cha ubunge Igunga. Mida ya kufunga hesabu imekaribia saaaana tupeleke kilio kwenye chama fulani.

Unaweza kuweka source ya taarifa hiyo?
 
Back
Top Bottom