Hayo mabadiliko yataletwa na Chadema, sitegemei haya Mahuni na mapumbavu kama yataweza kufanya hivyo hata kama tukiwa na Katiba mpya yataipindisha kwa kulinda maslai ya genge lao la kihuni (CCM). Kwa hiyo 2015 utoke na familia yako kwenda kuwatokomeza hawa Mahuni CCM
wadau naomba nitoke nje ya mada kidogo mniwie radhi,hv watz tutakuwa serious kama wenzetu wakenya ln nilikuwa naangalia taarifa yao ya habari jioni hii citizen tv majaji watano wamepigwa chini kwa kuharibu kesi na bado tume inafanya uchunguzi atakae bainika hakuna cha msalia mtume anatupiwa virago nje yan imenitia hamasa sna hasa kwa judiciary ilivyo kwetu hpa tz majaji na mahakimu wako kulinda interest za wakubwa na wenye chao tu jaman hebu tuige jirani zetu wakenya kwa mazuri.asanteni kwa kunivumilia
Mkuu hao waliojiunga chadema ni kwa muda tu watarudi CCM ni sawa na Ngombe kwenda kutafuta majani na baada ya muda kurudi zizini.
well said, chadema wanajipa matumaini yasiyo na matumaini.
.
"wasiosoma ni chakula cha wasomi".
wadau naomba nitoke nje ya mada kidogo mniwie radhi,hv watz tutakuwa serious kama wenzetu wakenya ln nilikuwa naangalia taarifa yao ya habari jioni hii citizen tv majaji watano wamepigwa chini kwa kuharibu kesi na bado tume inafanya uchunguzi atakae bainika hakuna cha msalia mtume anatupiwa virago nje yan imenitia hamasa sna hasa kwa judiciary ilivyo kwetu hpa tz majaji na mahakimu wako kulinda interest za wakubwa na wenye chao tu jaman hebu tuige jirani zetu wakenya kwa mazuri.asanteni kwa kunivumilia
wadau naomba nitoke nje ya mada kidogo mniwie radhi,hv watz tutakuwa serious kama wenzetu wakenya ln nilikuwa naangalia taarifa yao ya habari jioni hii citizen tv majaji watano wamepigwa chini kwa kuharibu kesi na bado tume inafanya uchunguzi atakae bainika hakuna cha msalia mtume anatupiwa virago nje yan imenitia hamasa sna hasa kwa judiciary ilivyo kwetu hpa tz majaji na mahakimu wako kulinda interest za wakubwa na wenye chao tu jaman hebu tuige jirani zetu wakenya kwa mazuri.asanteni kwa kunivumilia
wadau naomba nitoke nje ya mada kidogo mniwie radhi,hv watz tutakuwa serious kama wenzetu wakenya ln nilikuwa naangalia taarifa yao ya habari jioni hii citizen tv majaji watano wamepigwa chini kwa kuharibu kesi na bado tume inafanya uchunguzi atakae bainika hakuna cha msalia mtume anatupiwa virago nje yan imenitia hamasa sna hasa kwa judiciary ilivyo kwetu hpa tz majaji na mahakimu wako kulinda interest za wakubwa na wenye chao tu jaman hebu tuige jirani zetu wakenya kwa mazuri.asanteni kwa kunivumilia
Mkuu iko very clear Henry Kileo katibu wa CDM Mkoa (Kinondoni) anayeendesha mikutano pamoja na Lema huko Sengerema.
Kumbe ni ulaji.....Tatizo la CCM kila kitu mnatanguliza pesa mbele ndiyo maana mnataka uchaguzi Arusha nili mpate kumalizia vibanda vyenu.....Hapo kwenye red ni mradi wa kupeana ulaji miongoni mwa watu wenye asili ya UKANDA MMOJA