Kipindi cha michezo (Spot) 09/10/2012 Radio one kinamkariri aliyekuwa msemaji wa Yanga Luise Sendeu akilalamika kwamba yeye na wenzake waliotimuliwa Yanga baada ya matatizo ya Mbeya na Morogoro, eti bado hajalipwa na wala barua ya kuondolewa katika uongozi bado hajapewe...