Mlalahoi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2006
- 2,182
- 883
Hapa JF Sendeka alikuwa anajulikana kama "mpiganaji" haya sasa mambo hadharani wengine tuliyaona haya siku nyingi....
Kaka,
Heri ya Krismasi.
Hata huku nyumbani JK alikuwa anajulikana kuwa ni "CHAGUO LA MUNGU."Lakini sasa mambo hadharani japo kuna tuliojua mapema kuwa Mkwere ni msanii!