katika hali isiyokuwa ya kawaida semina ya walimu wa sayansi na hesabu iliyokuwa ikiendelea jijin dsm imevunjika baada ya walimu hao kulipwa tsh 15,000 per badala ya 45,000 per day kama walaka unavyo elekeza,inasadikika kuwa ofisi ya REO imechakachua kiasi kikubwa cha pesa na kuwaacha walimu hao wakiambulia 15000 tu,sambamba na hilo semina hiyo ilikuwa ikiendeshwa katika mazingira magumu ikiwa ni pamoja nahuduma mbaya za chakula na vifaa duni vya kuendeshea mafunzo hayo.hivyo basi walimu wote kwa umoja wao waliamua kuyasusia mafunzo hayo huku uongozi wa elim wa mkoa usijue nini cha kufanya.
my take;
inchi hii inakwenda wapi uchakachuzi kila idara.
my take;
inchi hii inakwenda wapi uchakachuzi kila idara.