Shaycas
JF-Expert Member
- Feb 13, 2009
- 906
- 110
Semina hiyo inashirikisha wajumbe toka wilaya za LUSHOTO,HAI,HANDENI,SIMANJIRO NA MANISPAA YA ARUSHA.Jumla ya wajumbe ni zaidi ya 120,ambao watalipwa Tsh 65000 kwa siku kwa siku 14.
Kama mjumbe ameenda na mtoto mchanga,nae hulipwa 32500(mtoto) kwa siku.
Moja ya agenda/somo ni MPANGO WA UWEZESHAJI HAKI JAMII.
Kama mjumbe ameenda na mtoto mchanga,nae hulipwa 32500(mtoto) kwa siku.
Moja ya agenda/somo ni MPANGO WA UWEZESHAJI HAKI JAMII.