Semina elekezi online - decision making process and model

Kati ya mapungufu hayo yote, kutokana na hapo kwenye RED, wala usitegemee kuona hata mbunge wetu mmoja hapo kwenye semina elekezi japo wanahitaji kweli mafunzo haya lakini bila POSHO nakuambia hapo ni allergy tupu kwao.

Wazo zuri ,ila semina Elekezi yako ina mapungufu yafuatayo:

1-Semina yako haina Seating Allowance wala Per Diem
2-Semina ili iwe Elekezi lazima Mkuu wa Kaya awepo
3-Kumbuka uongozi unaupata kwa Kujuana na siyo kwa uwezo mzuri kitendaji ila kwa uwezo mzuri ktk Ku-Network
4-Tunafanya maamuzi kisiasa zaidi.
5-Viongozi huwa hawawajibishwi na waliowatuma-i.e Wanainchi ila wanawajibishwa na wanasiasa wenzao

Mtoa mada mawazo yako yanafaa ktk nchi kama Rwanda ,Botswana na nchi zingie nje ya Africa.
 
Ulichotoa ni maelezo yanayozunguka na kumuacha mtazamaji aamue mwenyewe cha kufanya au aelewe viti.
Ila kama ungerahisisha zaid ingekuwa nzuri, yaani uelezee nini kinahitajika kabla ya kufanya Decision Making (Sound Decision).
Ningekuwa mimi ningesema unachohitajika kupitia au kuwa nacho ni kama ifuatayo.
1.Pilot study (Just a simple one)
2. Data Collection
3. Data Processing
4. Data Analysis

ukishapitian hatua hizo hapo tayari utakuwa na strong Data ambayo in qualify kuwa reported ambayo ndiyo iapelkwa kwenye round table for decision making......
Kamchango kangu ni hako tu.

Mkuu uko sahihi lakini sikutaka mada iwe technical ndio maana nikatumia lugha ya kwaida. Lengo langu au swali langu kuu ni kujua kama vizongozi wetu kuna baadhi ya maamuzi critical wana fuata utaratibu au model fulani au unategema kichwa cha mtu.

Nitatotea mfano wa Richmond. Kama kungekuwa na utaratbu fulani maaluma na sio kutegemea watu basi ingejulikana mapema hata utata wa physical adress ya ampuni husika. Mtu anaweza kusema utartibu unatumika ni tender. Lakini je kampuni kubwa inapotaka kuingi mkataba na serikali cha kuzingatia ni tender pekee.?????!!

Ofisi zetu za ubalozi nje zinatusaidiaje katika kuhakikisha tunafanya maamuzi sahihi juu ya haya makampuni ya kigeni. Kwa hiyo unaweza kuwa na Decsion model au utaratibu tofauti wa mambo tofauti

Anyway semina hii haina Posho kama alivyosema mdau. Lakini DECISION MAKING ni kitu inahitaji semina elekezi hata ikibidi wapelekwe tena ngurdoto
 
thank you for sharing such a wonderful and helpful information, surely, if most of us follow our instinct in decisions making we will be somewhere but if we follow some of defined ways of making decision we will be in a place/position that we wanted to be.

i second you when you said most of decision makers do not follow these defined ways of making decision, and these are the people who get chances and opportunity to attend workshops, seminar and what ever that might be that they get to make a good decision of which they don't. most of these decision makers decide based on "what is in it for me" instead of organization or company or country (at large) betterment's. it is a shame for these people who are paid to think.

the blame has not to be sent to decision makers alone, it has to be sent to the whole system that is used to give such people the room to be in such posts, most of these people are there based to the relationship they have with the selection team or any big potato, again it is a shame, we need to decide together on better ways that will improve each others life and not individuals.

a good decision making is a good engine for any family, organization, company or country, i challenge you people including myself to learn better ways to make not only a good decision but also the right decision.

a tip in making a good decision, "asking the right question(s) leads one to have a better solution based on better decision making skills"
 
thank you for sharing such a wonderful and helpful information, surely, if most of us follow our instinct in decisions making we will be somewhere but if we follow some of defined ways of making decision we will be in a place/position that we wanted to be.

i second you when you said most of decision makers do not follow these defined ways of making decision, and these are the people who get chances and opportunity to attend workshops, seminar and what ever that might be that they get to make a good decision of which they don't. most of these decision makers decide based on "what is in it for me" instead of organization or company or country (at large) betterment's. it is a shame for these people who are paid to think.

the blame has not to be sent to decision makers alone, it has to be sent to the whole system that is used to give such people the room to be in such posts, most of these people are there based to the relationship they have with the selection team or any big potato, again it is a shame, we need to decide together on better ways that will improve each others life and not individuals.

a good decision making is a good engine for any family, organization, company or country, i challenge you people including myself to learn better ways to make not only a good decision but also the right decision.

a tip in making a good decision, "asking the right question(s) leads one to have a better solution based on better decision making skills"

Umenena vizuri mkuuu hatujiulizi maswali magumu a tumezeoea kufanya kazi kwa mazoea. kuna scenario nyingi amabzo zina matatzo lakini kuna watu wanakwenda ofisini na kupitisha na kuzifanyia maamuzi kila siku sababu hawajiuizi maswali. Mfano mimi nina maswali kwenye UTALII

Decison model gani ilitumika kuamua kuuza wanyama hai nje.? Bei ya kuuza hao wanayama ilizingatia nini na igezo gai ni ya mwaka gani? Bei ya wanyaa inafanyiwa review kila baada ya muda gani?

Kwani kuonyesha ushirkiano wa Afrika mahsariki au afrika kwa ujumla tusikubaliane kukaataa kabisa kuuza wanyama hai nje. Kam kuna ulazima kwa nini tusiwakodishe tu

Je
  • kwa nchi inayotegemea utliiii wa wanyama Inauza wanyama hai kwenda nje? Je sio kuhujumu uchumi na utalii wetu wenyewe? Kwa nini badala ya kuwauza tusiwakoishe hao wanyama kama vile wachina wavyowakodisha panda wao? ( Soma panda diplomacy )Kwa china Panda ni natinal treasury. Kwa nini sisi wanyama wasiwe National tresury?

Sasa sababu watu tumezoea kufanya kazi kwa mazoea maswali kama haya watu hawajiulizi wala kuyatafutia majibu na maamuzi sahihi kulingana na wakati fulani
 
Mfano wewe mwana JF as final decison maker katika wizara ya miundondombinu . Kuna bilioni 800 zinatakiwa kuwa investsed Either kwenye shirika la ATCL au kwenye TRL?
  • Je utaamua kuwekekeza kwenye ATCL na a naga na uwekze kwenye miradi kama kuongeza idaidi ya viwanja vw andege vya ndege so called vya kimatiafa? na Kununua Ndege mpya au used.
  • Utamua na kuwekeza kwenye Reli kupunguza muda wa safari kati ya Dar na kigoma. Au kuanzisha mradi wa njia mbili za reli kati ya Dar na dodoma.
  • Utaamua kufanya simple decision ya kugawana fedhakwa ATCL na RELI. kununua ndege used na vichwa vya treni na mabehwa used kutoka nchii fulani.
Watu wenye Model fulani ya maamuzi hawaogopi kufanya maamuzi magumu. Lakini viongozi amabo hawana model maalum ya maamuzi na wanategema Instict kam alivyosema mdau mmoja basi wanafanya maamuzi ya bora liende tuone kesho itakuwaje....
 
Back
Top Bottom