Semina elekezi online - decision making process and model

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Haya katika kufuatilia mwenendo wa siasa na uongozi nchini mwetu nimegundua katika matatizo mengi tuliyonayo moja ya vyanzo vya matatizo ni la kufanya maamuzi. Kwa lugha ya kimomdbo tunasema decision making.

Najua viongozi wa serikali ,mashirika na taasisi wanahudhuruai semina elekezi nyingi lakini nina wasi wasi kwenye semina elekezi walizohudhuria wamewahi kukumbushwa umuhimu, faida na hasara za kutokuwa na standards/model katika kufanya maamuzi ya kiofisi.

Viongozi na watendaji wakiwa na structure maaluma ya kufuta au system kabla ya kufikia maamuzi fulani basi asilimia kubwa uamuzi watakaofanya utakuwa ni sahihi.


Kuna nyenzo nyingi na rahisi mfano mojawapo inaitwa decision tree (soma http://www.mindtools.com/dectree.html ) inayoweza kutumika kuumpa picha decision maker

  • Faida au hasara ya kila amuzi atalofanya
  • Faida za muda mfupi na muda mrefu wa kila maamuzi atakalofanya
  • Gharama na kila maamuzi
  • Risk ya kila maamuzi
Karne hii kuna mifumo ya computer inayoitwa Decision Support system ambayo data sahihi zikiingizwa basi Decison makers wetu wangefanya maamuzi sahihi ya kifedha, afya , elimu etc.

Je

  • Je wizara idara mashirika yanatumia decsion making model gani katika kugawa tender,kuwekeza,kubinafsisha, kuajiri, kupanga bajeti?
  • kuna mambo tunshindwa kupiga hatua sababu viongozi wetu ni risk taker katika maamuzi yao?

  • kuna shemu tunashindwa kupiga hatua sababu viongozi wetu ni risk avoider katika maamuzi yao?

  • Sekta gani au maamuzi gani ya yainahitaji decison maker amabao ni risk taker na sekta au viongozi gani wanataiwa kuwa risk avoider?
  • Kwa nini na Vitu gani vilizingatiwa au vilitiliwa wa maani kuamua kuuza hifadhi yetu ya dhahabu?
Wenzetu kwenye karne hii ya sayasi na Teknolojia hawafanyi tu maamuzi kwa uzoefu. This world we are living is complex na kuna factor nyingi za kuzingatia ambazo kichwa cha binadamu sio rahisi kuzinyambulisha zote na kufanya maamuzi bila msaada wa teknolojia. Ndio maana katika mifumo ya kompyuta una system zinaitwa Decision Suport system ( DSS)

Kwa article mbali mbali la hili somo nyeti hasa kwa viongozi tembelea au mnaweza ku google Decision Making process.
http://www.decision-making-confidenc...ng-models.html
http://www.decision-making-confidenc...ng-models.html
DECISION MAKING PROCESS
Kashfa kama za Richmond, Radar na nyinginezo zinaoneysha Decsion making za serikali na taaisis nyingi kwa asilimia kubwa zinategema mtu badala ya utaratibu na model fulani. Hili ni tatizo.

Hiyo ni semina yangu elekezei kwa viongozi wote.

Karibu tueedelee kutoa semina elekezi huru

 
mhhhh
hakuna mtu mwenye semina elekezi ya zaidi au kupunguza kuongeza an kuponda kamchango kangu.
 
mchango wako n mzuri sana japo una mapungufu fulan ya kiukufunz sijui n kwa sababu hukulenga kutoa semina elekez kama kichwa habari kinavyosomeka au hukujua ufanye nn kufikisha ujumbe ni kama umetoa utangulz wa jambo ulilotaka kulizungumzia na ukaacha kuongelea kiin cha chambo.
Kwa mfano umetoa aina za watu kama risk taker na risk avoider lakn hujaeleza kwa undan khusu watu hawa, umeongelea DSS lakn hujaitolea ufafanuz na wala hujaeleza aina za decision making wala proces za decision making.
Umejaribu kutoa source congrats bt that is not enough may kama semina bado inaendelea. Bt gd start its a gd thng to do.
 
seo4.jpg
seo3.jpg

song.jpg
signature.jpg

baby2.jpg
 
mchango wako n mzuri sana japo una mapungufu fulan ya kiukufunz sijui n kwa sababu hukulenga kutoa semina elekez kama kichwa habari kinavyosomeka au hukujua ufanye nn kufikisha ujumbe ni kama umetoa utangulz wa jambo ulilotaka kulizungumzia na ukaacha kuongelea kiin cha chambo.
Kwa mfano umetoa aina za watu kama risk taker na risk avoider lakn hujaeleza kwa undan khusu watu hawa, umeongelea DSS lakn hujaitolea ufafanuz na wala hujaeleza aina za decision making wala proces za decision making.
Umejaribu kutoa source congrats bt that is not enough may kama semina bado inaendelea. Bt gd start its a gd thng to do.

Hahaa mkuu umesema kweli nimejaribu kugusa gusa tu sababu hii semina ya online inaweza kuwaboa . Si unaona mdau mmoja kasema sisi tu wavivu wa kusoma.

Kifupi nilichotaka kusisitiza inatakiwa kuwepo semina elekezi kwa vingozi na watendaji wote inayohusu somo la kufanya maamuzi ( ya kiofisi). na semina elekezi sio lazima wasubiri waitwe Ngurdoto. Wanatakiwa wasome watafute information jinsi viongozi na makampuni mengine yanavyofanya maamuzi.

kuhusu risk taker na ovoider nilitaka kusema kuna baadhi ya maamuzi au mambo inabidi risk zikubalike na kuna baadhi ya maamuzi mtedaji hatakiwi kuchukua risk. Sio Sula la mtu kuwa risk taker au avoider. Noo hi ni wrong.

Kinachotakiwa sitution iliypo yaani tatizo ai issue ndio ina determine kama maamuzi yanayotakiwa yazingatie risk fulani au yakwepe kabisa risk. Na ta kama ni kchukua risk iwe ni calculated risk huku ukijua kabisa ni risk gani zinaweza kutoke ana madhara yake na ni hatua gani utachukua.

Liimejia wazo sijui huko kwenye semina elekezi zao huwa wanafanya nn ndio maana nikaona labda inatakiwa wawatafute wataalamu kama kina Billgates wawape shule ya model mbali mbali za kufanya maamuzi. Au Wawatafute wataamu wa Pricecoopers wawape darasa japo la siku moja juu ya kufanya maaamuzi.

Tatizo sio mwandishi so naweza kuruka kuruka na mtiririko wangu usiwe mzuri.

lakini mkuu na wewe toa semina elekezi yeyote kwa vongozi wetu. Si unaona tuna leadership crisis. teh teh teh
 
Wazo zuri ,ila semina Elekezi yako ina mapungufu yafuatayo:
1-Semina yako haina Seating Allowance wala Per Diem
2-Semina ili iwe Elekezi lazima Mkuu wa Kaya awepo
3-Kumbuka uongozi unaupata kwa Kujuana na siyo kwa uwezo mzuri kitendaji ila kwa uwezo mzuri ktk Ku-Network
4-Tunafanya maamuzi kisiasa zaidi.
5-Viongozi huwa hawawajibishwi na waliowatuma-i.e Wanainchi ila wanawajibishwa na wanasiasa wenzao

Mtoa mada mawazo yako yanafaa ktk nchi kama Rwanda ,Botswana na nchi zingie nje ya Africa.
Haya katika ufutilia mwenendo wa siasa na uongozi nchi mwetu nimegundua katika matatiz mengi tuliyonayomoja vyanzo vya matatizo ni la kufanya maamuzi kwa lugha ya kimomdbo tunasema decision making.

Najua viongozi wa serikali ,mashirika na taasisi wanahudhuruai semina elekezi nyingi lakini nina wasi wasi kwenye semina elekezi walizohudhuria wamewahi kukumbushwa umuhimu, faida na hasara za kutokuwa na standards katika kufanya maamuzi ya kiofisi.

Viongozi na watendaji wakiwa na structure maaluma ya kufuta au system kabla ya kufikia maamuzi fulani basi asilimia ubwa uamuzi watakaofanya utakuwa ni sahihi.


Kuna nyenzo nyingi na rahisi mfano mojawapo inaitwa decision tree (soma http://www.mindtools.com/dectree.html ) inayoweza kutumika kuumpa picha decision maker

  • Faida au hasara ya kila amuzi atalofanya
  • Faida za muda mfupi na muda mrefu wa kila maamuzi atakalofanya
  • Gharama na kila maamuzi
  • Risk ya kila maamuzi
Karne hii kuna mifumo ya computer inayoitwa Decision Support system ambayo data sahihi zikiingizwa basi Decison makers wetu wangefanya maamuzi sahihi ya kifedha, afya , elimu etc.

Je

  • Je wizara idara mashirika yantumia decsion making model gani katika kugawa tender,kuwekeza,kubinafsisha, kuajiri, kupanga bajeti?
  • kuna mambo tunshindwa kupiga hatua sababu viongozi wetu ni risk taker katika maamuzi yao

  • kuna shemu tunashindwa kupiga hatua sababu viongozi wetu ni risk avoider katika maamuzi yao

  • Sekta gani au maamuzi gani ya yainahitaji decison maker amabao ni risk taker na sekta au viongozi gani wanataiwa kuwa risk avoider?
Wenzetu kwenye karne hii ya sayasi na Teknolojia hawafanyi tu maamuzi kwa uzoefu. This world we are living is complex na kuna factor nyingi za kuzingatia ambazo kichwa cha binadamu sio rahisi kuinyambulisha zote na kufanya maamuzi bila msaada wa teknolojia. Ndio maana katika mifumo ya kompyuta una system zinaitwa Decision Suport system ( DSS)

Kwa article mbali mbali la hili somo nyeti hasa kwa viongozi tembelea au mnaweza ku google Decision Making process.
http://www.decision-making-confidenc...ng-models.html
http://www.decision-making-confidenc...ng-models.html
DECISION MAKING PROCESS
Kashfa kama za Richmond, Radar na nyinginezo zinaoneysha Decsion making za serikali na taaisis nyingi kwa asilimia kubwa zinategema mtu badala ya utaratibu na model fulani. Hili ni tatizo.

Hiyo ni semina yangu elekezei kwa viongozi wote.

Karibu tueedelee kutoa semina elekezi huru

 
Wazo zuri ,ila semina Elekezi yako ina mapungufu yafuatayo:
1-Semina yako haina Seating Allowance wala Per Diem
2-Semina ili iwe Elekezi lazima Mkuu wa Kaya awepo
3-Kumbuka uongozi unaupata kwa Kujuana na siyo kwa uwezo mzuri kitendaji ila kwa uwezo mzuri ktk Ku-Network
4-Tunafanya maamuzi kisiasa zaidi.
5-Viongozi huwa hawawajibishwi na waliowatuma-i.e Wanainchi ila wanawajibishwa na wanasiasa wenzao

Mtoa mada mawazo yako yanafaa ktk nchi kama Rwanda ,Botswana na nchi zingie nje ya Africa.

Haaahaha basi kazi tunayo
 
tu wavivu wa kusoma ni sawa. Watawala pale juu wagumu wa kukubali au kwa makusudi tu huamua wanavyoamua ali mradi wanaridhia ofisi zao na sio wanaowaongoza
 
mkuu tunashukuru,ila watanzania wengi wavivu wakusoma habari ndefu.

hahhahahahah hiyo ni kawaida ya wanasiasa lakini inashanagza hata wanasheria wetu wa Tanzania nao wana alagey na document ndefu...........

Ndio maana hata mikataba wanshindwa kusoma wanakimblia kuweka sahihi. Siku mambo yakiharibika ndio wanagundua ohhhhh kumbe maamuzi fulani sikutakiwa kuyachukua kwa pupa au kwa mazoea

tratibu tutafika
 
hahhahahahah hiyo ni kawaida ya wanasiasa lakini inashanagza hata wanasheria wetu wa Tanzania nao wana alagey na document ndefu...........

Ndio maana hata mikataba wanshindwa kusoma wanakimblia kuweka sahihi. Siku mambo yakiharibika ndio wanagundua ohhhhh kumbe maamuzi fulani sikutakiwa kuyachukua kwa pupa au kwa mazoea

tratibu tutafika

Hapa tusizunguke zunguke ukweli ni kwamba most of our decision makers are very slow in making those maamuzi na funny enough waoga, na sababu kubwa most of them are unfit not only for the post they hold but even for human consumption, B'se they are not for the public interest.
 
Hapa tusizunguke zunguke ukweli ni kwamba most of our decision makers are very slow in making those maamuzi na funny enough waoga, na sababu kubwa most of them are unfit not only for the post they hold but even for human consumption, B'se they are not for the public interest.

Sio kuzunguka mkubwa Some decision na strategic decion sometime na most time ni complex. Sasa ama decionmkaers hajui hilo ndio mwazo. kama hajui atumie model gani au kabla ya ufanya maamuzi ni vitu gani vitazamwe basi ndio huo Uslow.

Kuwa slow ni sababu maamuzi sometime yanategema mtu sio utaratibu. Na ndiomaaana nimeweka semina hiyo. Kama kungekuwa na Decsiom making model basi hata BOss fulani akiodnokaa anajua aliyepo atafanya maamuzi ambayo hata kama yeye angekuwepo angeyafanya.

Na unavyosema they are unfit inawezekana kweli sabbau most decsin ion makers hawajui How technology iliyopo ipo kwa jili y kuwasaidiakufaya maamuzi sahihi . Biilgates na Microst walipofikia hawezi kununa skype kw akutoka kichwani au kuungana na Nokia bila kuangalia na Kufuata Investment decion Model waliyojiweka. Kila upande na taisis makini ina Decision model au mdel unazotumia ziwe ni manual au computerised Zipo.

Sasa sisi hatuna haya mambo watu wakimaliza shule na kupass theory Exam hawajui katika real life yanatumikaje.
 
Sasa hivi mambo ni worse sana kwa watendaji wetu,kwa vili hakuna decision making standards, tabia za bosi ndio zinasimama pale. Kama bosi hapendi hiki basi hakitafanyika provided kwamba ana mamlaka nacho, haijalishi kina tija au hakina tija.
 
mhhhh
hakuna mtu mwenye semina elekezi ya zaidi au kupunguza kuongeza an kuponda kamchango kangu.​



  • <

mating4.jpg

mating2.jpg

mating3.jpg



 
Huyu Bwana aliyeanzisha hii mada ya semina elekezi inaelekea ana ufahamu kuhusu risk management. Lakini inaelekea amesahau kuwa sio 'risk' zote ni appropriate. Unachukua risk unaangalia HOW APPROPRIATE is the risk. Sio akili kuchukua risk kwa mfano kujirusha kutoka ghorofa ya tatu ukasema ngoja nione itakuwaje. UTAKUFA TU!!! kwa hivyo hawa wenzetu inwezekana kabisa wanatoa maamuzi wanayoyatoa huku wakijua matokeo yake yatakuwa ni nini. Kwa sababu maamuzi hayo hutolewa baada ya kushawishiwa huwezi kutegemea yakawa ni maamuzi ya kuwasaidia walio wengi. Wanatoa maamuzi hayo wakijua wao watafaidika nayo. Kungekuwa na consequncies anazokabiliwa nazo mtu wa aina hiyo ambazo tumezipanga sisi wananchi labda wangeogopa kufanya maamuzi hayo ya kipuuzi. Semina elekezi ni kiini macho tu!
 
Ulichotoa ni maelezo yanayozunguka na kumuacha mtazamaji aamue mwenyewe cha kufanya au aelewe viti.
Ila kama ungerahisisha zaid ingekuwa nzuri, yaani uelezee nini kinahitajika kabla ya kufanya Decision Making (Sound Decision).
Ningekuwa mimi ningesema unachohitajika kupitia au kuwa nacho ni kama ifuatayo.
1.Pilot study (Just a simple one)
2. Data Collection
3. Data Processing
4. Data Analysis

ukishapitian hatua hizo hapo tayari utakuwa na strong Data ambayo in qualify kuwa reported ambayo ndiyo iapelkwa kwenye round table for decision making......
Kamchango kangu ni hako tu.
 
Kaka umenena, kwani kwa kiongozi bora, ni lazima atakuwa na uwezo wa kutafakali na kutumia decision Model zenye standard with tm limit,lakini kwa bora kiongozi ndio wale ambao wanatufikisha pale kwa kina Richmond, Dowans.Kagoda, EPA,.Endelea mjomba kutoa somo
 
Back
Top Bottom