Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Haya katika kufuatilia mwenendo wa siasa na uongozi nchini mwetu nimegundua katika matatizo mengi tuliyonayo moja ya vyanzo vya matatizo ni la kufanya maamuzi. Kwa lugha ya kimomdbo tunasema decision making.
Najua viongozi wa serikali ,mashirika na taasisi wanahudhuruai semina elekezi nyingi lakini nina wasi wasi kwenye semina elekezi walizohudhuria wamewahi kukumbushwa umuhimu, faida na hasara za kutokuwa na standards/model katika kufanya maamuzi ya kiofisi.
Viongozi na watendaji wakiwa na structure maaluma ya kufuta au system kabla ya kufikia maamuzi fulani basi asilimia kubwa uamuzi watakaofanya utakuwa ni sahihi.
Kuna nyenzo nyingi na rahisi mfano mojawapo inaitwa decision tree (soma http://www.mindtools.com/dectree.html ) inayoweza kutumika kuumpa picha decision maker
Je
Kwa article mbali mbali la hili somo nyeti hasa kwa viongozi tembelea au mnaweza ku google Decision Making process.
http://www.decision-making-confidenc...ng-models.html
http://www.decision-making-confidenc...ng-models.html
DECISION MAKING PROCESS
Kashfa kama za Richmond, Radar na nyinginezo zinaoneysha Decsion making za serikali na taaisis nyingi kwa asilimia kubwa zinategema mtu badala ya utaratibu na model fulani. Hili ni tatizo.
Hiyo ni semina yangu elekezei kwa viongozi wote.
Karibu tueedelee kutoa semina elekezi huru
Najua viongozi wa serikali ,mashirika na taasisi wanahudhuruai semina elekezi nyingi lakini nina wasi wasi kwenye semina elekezi walizohudhuria wamewahi kukumbushwa umuhimu, faida na hasara za kutokuwa na standards/model katika kufanya maamuzi ya kiofisi.
Viongozi na watendaji wakiwa na structure maaluma ya kufuta au system kabla ya kufikia maamuzi fulani basi asilimia kubwa uamuzi watakaofanya utakuwa ni sahihi.
Kuna nyenzo nyingi na rahisi mfano mojawapo inaitwa decision tree (soma http://www.mindtools.com/dectree.html ) inayoweza kutumika kuumpa picha decision maker
- Faida au hasara ya kila amuzi atalofanya
- Faida za muda mfupi na muda mrefu wa kila maamuzi atakalofanya
- Gharama na kila maamuzi
- Risk ya kila maamuzi
Je
- Je wizara idara mashirika yanatumia decsion making model gani katika kugawa tender,kuwekeza,kubinafsisha, kuajiri, kupanga bajeti?
- kuna mambo tunshindwa kupiga hatua sababu viongozi wetu ni risk taker katika maamuzi yao?
- kuna shemu tunashindwa kupiga hatua sababu viongozi wetu ni risk avoider katika maamuzi yao?
- Sekta gani au maamuzi gani ya yainahitaji decison maker amabao ni risk taker na sekta au viongozi gani wanataiwa kuwa risk avoider?
- Kwa nini na Vitu gani vilizingatiwa au vilitiliwa wa maani kuamua kuuza hifadhi yetu ya dhahabu?
Kwa article mbali mbali la hili somo nyeti hasa kwa viongozi tembelea au mnaweza ku google Decision Making process.
http://www.decision-making-confidenc...ng-models.html
http://www.decision-making-confidenc...ng-models.html
DECISION MAKING PROCESS
Kashfa kama za Richmond, Radar na nyinginezo zinaoneysha Decsion making za serikali na taaisis nyingi kwa asilimia kubwa zinategema mtu badala ya utaratibu na model fulani. Hili ni tatizo.
Hiyo ni semina yangu elekezei kwa viongozi wote.
Karibu tueedelee kutoa semina elekezi huru