Je, mtu anatakiwa kufahamu sayansi ili awe mhandisi mzuri? Ndiyo au hapana? Kwanini?
Je, mtu anatakiwa kufahamu sayansi ili awe mhandisi mzuri? Ndiyo au hapana? Kwanini?
soma chochote tu kina kazi nzuri,wewe hujaona hao wahandisi kutoka Udsm wanatafuta kazi miaka nenda rudi na hawazipati.
duh ina maana kazi nzuri inapatikana kwa kusoma sayansi??? nikisoma arts je?