Katika gazeti la Sema Usikike la leo tarehe 10/2/2009 kuna habari kwamba Waziri mkuu wazamani amemuweka kimada mbunge moja shoga kutoka magaribi. Kwa waheshimiwa wabunge habari hii siyo ngeni kwao.
Hizi habari ni Tanzania ama? maana mawaziri wakuu Tz hawazidi, 10
Malecela, Msuya, Sumaye, Warioba, Lowassa, Kawawa, Pinda wengine kama Sokoine na Nyerere waliisha kufa....sasa ni yupi...(Kawawa ameisha kwa uzee), wengine wanawake zao isipokuwa Msuya nadhani alifiwa na mkewe sijui issue ya remarrying!!
.........yaani kamuweka kimada..na huyo aliewekwa kimada ni Mbunge..alafu ni mwanaume.....=mhh hii laana uuuuuuwi!Hizi habari ni Tanzania ama? maana mawaziri wakuu Tz hawazidi, 10
Malecela, Msuya, Sumaye, Warioba, Lowassa, Kawawa, Pinda wengine kama Sokoine na Nyerere waliisha kufa....sasa ni yupi...(Kawawa ameisha kwa uzee), wengine wanawake zao isipokuwa Msuya nadhani alifiwa na mkewe sijui issue ya remarrying!!
.........yaani kamuweka kimada..na huyo aliewekwa kimada ni Mbunge..alafu ni mwanaume.....=mhh hii laana uuuuuuwi!
Kwani Sumaye anakuwepo Dodoma mara nyingi? Kwa maana hiyo kuna uwezekano mkubwa kwamba siyo yeye (by simple logics, we can therefore exclude him). Na kadiri ya maelezo ya Tujisenti, hao watu wamekuwa na uhusiano toka mhusika akiwa PM. Lakini kama tunavyokumbuka, mzee Malecela alikuwa PM siku nyingi na kwa hiyo sina hakika kama hawa watu wanaweza kuwa na uhusiano muda wote huo tusijue. Kwa maana hiyo ni EL???
Ila kama kweli ni EL basi atakuwa na LAANA! Ufisadi yeye na sasa ufirauni awe yeye?? Haiwezekani kabisa!!!
Kwani Sumaye anakuwepo Dodoma mara nyingi? Kwa maana hiyo kuna uwezekano mkubwa kwamba siyo yeye (by simple logics, we can therefore exclude him). Na kadiri ya maelezo ya Tujisenti, hao watu wamekuwa na uhusiano toka mhusika akiwa PM. Lakini kama tunavyokumbuka, mzee Malecela alikuwa PM siku nyingi na kwa hiyo sina hakika kama hawa watu wanaweza kuwa na uhusiano muda wote huo tusijue. Kwa maana hiyo ni EL???
Ila kama kweli ni EL basi atakuwa na LAANA! Ufisadi yeye na sasa ufirauni awe yeye?? Haiwezekani kabisa!!!
Hii habari inasikitisha! kama ni waziri mkuu wa zamani anayekuwepo Dodoma kwasasa basi ni EL na Mzee JSM na kwa vyovyote kwa umri na hali halisi ilivyo Mzee JSM anajiondoa anabaki EL na huyo mbunge wa Magharibi (Tabora,Shinyanga na Kigoma) mhh inanipa kigugumizi lakini nahisi wanamzungumzia mbunge kijana kutokana na mahusiano yake na EL.
Nafikiri taarifa hii imelenga katika kumchafulia jina EL pamoja na huyo mbunge,kama anayezungumziwa katika hilo gazeti ni EL.
BTW,hilo gazeti la sema usikike ni kama yale ya Eric Shigongo? mbona kama limekaa kidaku sana?
Katika gazeti la Sema Usikike la leo tarehe 10/2/2009 kuna habari kwamba Waziri mkuu wazamani amemuweka kimada mbunge moja shoga kutoka magaribi. Kwa waheshimiwa wabunge habari hii siyo ngeni kwao.