chriss brown
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 292
- 63
Kama unataka demu,sema unataka aweje aweje,na akiwa mtaani,sema unatakaje atokeje tokeje,marashi itakiwaje akinukiajeeee...nampenda demu bomba awe mtanzania...nimeumic wimbo huu..
We ungetuuliza sisi wanawake tunataka mwanaume aweje ili upate kuelimika. sasa unauliza vya wanawake vinakusaidia nini?
Aaaah, sasa hivi mwenyeji kiasi. Kuna thread ya Nyani Ngabu anauliza utatoka na nani, mwenzio nimepata 'mchumba' na ndio ananifundisha vitu vingi kama ku-quote, multi-quote, na kadhalika.Mwali mzima wewe?? Naona ushakua mwenyeji toka tukukaribishe dear... and you are beautiful on your Avatar, umejipamba but hujajichakachua and at minimal..... Splendid....
Kama unataka demu,sema unataka aweje aweje,na akiwa mtaani,sema unatakaje atokeje tokeje,marashi itakiwaje akinukiajeeee...nampenda demu bomba awe mtanzania...nimeumic wimbo huu..
Aaaah, sasa hivi mwenyeji kiasi. Kuna thread ya Nyani Ngabu anauliza utatoka na nani, mwenzio nimepata 'mchumba' na ndio ananifundisha vitu vingi kama ku-quote, multi-quote, na kadhalika.
Si unakumbuka nilisema mi ni mpole? ananipa moyo wa kuchangia kwenye maada na kujichanganya. kweli huyu 'mchumba' wangu amenisaidia sana katika hatua za kwanza.
Vipi wewe?
Bado ni potential, nilikua nasubiri niulize ulize kwanza nisije nikaingia anga za wenyeji. Mimi nimechaguliwa na ndugu Aspirin na niliona Kaizer kachagua watu kama 3 hivi... vipi, Aspirin ni sawa au?Aisee Mwali nimekukubali dearest.... Mchumba tayari (hopefully ni potential) niambie ni nani kwanza nijue kama uliingia mkenge... Mie ile thread nimeona hata uvivu kufungua, na bcoz umesema uliingia you have to tell me kama kuna member anaitwa Kaizer kaingia pale ili niende Asap..... Haya dear taja huyo shemeji....
Bado ni potential, nilikua nasubiri niulize ulize kwanza nisije nikaingia anga za wenyeji. Mimi nimechaguliwa na ndugu Aspirin na niliona Kaizer kachagua watu kama 3 hivi... vipi, Aspirin ni sawa au?
Bado ni potential, nilikua nasubiri niulize ulize kwanza nisije nikaingia anga za wenyeji. Mimi nimechaguliwa na ndugu Aspirin na niliona Kaizer kachagua watu kama 3 hivi... vipi, Aspirin ni sawa au?
Bado ni potential, nilikua nasubiri niulize ulize kwanza nisije nikaingia anga za wenyeji. Mimi nimechaguliwa na ndugu Aspirin na niliona Kaizer kachagua watu kama 3 hivi... vipi, Aspirin ni sawa au?
Kazi ipo...Kama unataka demu,sema unataka aweje aweje,na akiwa mtaani,sema unatakaje atokeje tokeje,marashi itakiwaje akinukiajeeee...nampenda demu bomba awe mtanzania...nimeumic wimbo huu..
Weye ntoto kwani hukufundwa? Maswali kama hayo ya ashadii unajibu 'sikumbuki vizuri'! Hebu rudi ndani na zile shanga ulizopewa urudishe kwanza tuanze upya! Unataka kutuletea balaa! Weeeh mwali!
Wifi nakusalimia tu,nakuja huko for bfast,nimejikaribisha
Wifi King Missed you BIG time.... Naona sasa nitaumwa....lol.... Breakfast najua umekuja home ukakuta sipo... Sorry...
Najivunia sana wewe kuwa mke mwenzangu hujui tu. Nimecheka sana hapo pa mwali arudishe shanga..kha ni kwamba walikosea kumpa au? Isijekuwa kajivalisha mwenyewe huyu...lol.Weye ntoto kwani hukufundwa? Maswali kama hayo ya ashadii unajibu 'sikumbuki vizuri'! Hebu rudi ndani na zile shanga ulizopewa urudishe kwanza tuanze upya! Unataka kutuletea balaa! Weeeh mwali!
Wifi nakusalimia tu,nakuja huko for bfast,nimejikaribisha
Shem...............Khaa!OMG!!! Mwali ODM (I never call him by Asprin) is perfectoooo!!! lol.... And he is my Darling Shem.... a wonderful Man with a lot of Madhaifu, BUT if he has fallen for you then heaven will be here on earth... Nakushauri... Jiandae Challenges, (anapenda na ku-appreciate saana the opposite sex if you know what i mean....lol) Enways he is so imperfect but Man enough who for a True woman wa Kiafrika... A perfect Man!!
Huyo bana ni wakaribu saana na Kipenzi changu Kaizer... Nakutambulisha rasmi Kaizer aka Sweetie ndo ananichanganya akili at the moment...and i think it will be forever pia (as you have told me kataja watatu - hivo pata picha ndo typical ODM type....) hapa tayari I am MAD.... Kawataja akina nani hao??
Bado una mashaka?Bado ni potential, nilikua nasubiri niulize ulize kwanza nisije nikaingia anga za wenyeji. Mimi nimechaguliwa na ndugu Aspirin na niliona Kaizer kachagua watu kama 3 hivi... vipi, Aspirin ni sawa au?
You have broken my heart, just there and then!Mwali are serious?
kama sijakosea wewe utakuwa kwenye namba 10 au zaidi,
jipange upya mwali wangu.
Jamani si nimesema nataka kuuliza kwanza kabla ya kuamua? ila kusema ukweli he is nice... :A S embarassed:...Weye ntoto kwani hukufundwa? Maswali kama hayo ya ashadii unajibu 'sikumbuki vizuri'! Hebu rudi ndani na zile shanga ulizopewa urudishe kwanza tuanze upya! Unataka kutuletea balaa! Weeeh mwali!
Wifi nakusalimia tu,nakuja huko for bfast,nimejikaribisha