sema unatakaje?

chriss brown

JF-Expert Member
Nov 3, 2011
292
63
Kama unataka demu,sema unataka aweje aweje,na akiwa mtaani,sema unatakaje atokeje tokeje,marashi itakiwaje akinukiajeeee...nampenda demu bomba awe mtanzania...nimeumic wimbo huu..
 
maridadi,mvuto wa zamaradi,tupitapo maskani washkaji mpandwe midadi.... Nalog off
 
We ungetuuliza sisi wanawake tunataka mwanaume aweje ili upate kuelimika. sasa unauliza vya wanawake vinakusaidia nini?
 
We ungetuuliza sisi wanawake tunataka mwanaume aweje ili upate kuelimika. sasa unauliza vya wanawake vinakusaidia nini?


Mwali mzima wewe?? Naona ushakua mwenyeji toka tukukaribishe dear... and you are beautiful on your Avatar, umejipamba but hujajichakachua and at minimal..... Splendid....
 
Mwali mzima wewe?? Naona ushakua mwenyeji toka tukukaribishe dear... and you are beautiful on your Avatar, umejipamba but hujajichakachua and at minimal..... Splendid....
Aaaah, sasa hivi mwenyeji kiasi. Kuna thread ya Nyani Ngabu anauliza utatoka na nani, mwenzio nimepata 'mchumba' na ndio ananifundisha vitu vingi kama ku-quote, multi-quote, na kadhalika.
Si unakumbuka nilisema mi ni mpole? ananipa moyo wa kuchangia kwenye maada na kujichanganya. kweli huyu 'mchumba' wangu amenisaidia sana katika hatua za kwanza.
Vipi wewe?
 
Kama unataka demu,sema unataka aweje aweje,na akiwa mtaani,sema unatakaje atokeje tokeje,marashi itakiwaje akinukiajeeee...nampenda demu bomba awe mtanzania...nimeumic wimbo huu..


Hebu kumbusha na mistari mingine... Aminata wa keita, Jay dee, Ray C et al walitolewa mifano gani vilee?? Na kama nature alivo fanya nini kwa Sonia?? lol

Chriss Brown.... Love your new Album, but Love you ex's Rihanna more.... Habari yako Mkuu.
 
Aaaah, sasa hivi mwenyeji kiasi. Kuna thread ya Nyani Ngabu anauliza utatoka na nani, mwenzio nimepata 'mchumba' na ndio ananifundisha vitu vingi kama ku-quote, multi-quote, na kadhalika.
Si unakumbuka nilisema mi ni mpole? ananipa moyo wa kuchangia kwenye maada na kujichanganya. kweli huyu 'mchumba' wangu amenisaidia sana katika hatua za kwanza.
Vipi wewe?


Aisee Mwali nimekukubali dearest.... Mchumba tayari (hopefully ni potential) niambie ni nani kwanza nijue kama uliingia mkenge... Mie ile thread nimeona hata uvivu kufungua, na bcoz umesema uliingia you have to tell me kama kuna member anaitwa Kaizer kaingia pale ili niende Asap..... Haya dear taja huyo shemeji....
 
Aisee Mwali nimekukubali dearest.... Mchumba tayari (hopefully ni potential) niambie ni nani kwanza nijue kama uliingia mkenge... Mie ile thread nimeona hata uvivu kufungua, na bcoz umesema uliingia you have to tell me kama kuna member anaitwa Kaizer kaingia pale ili niende Asap..... Haya dear taja huyo shemeji....
Bado ni potential, nilikua nasubiri niulize ulize kwanza nisije nikaingia anga za wenyeji. Mimi nimechaguliwa na ndugu Aspirin na niliona Kaizer kachagua watu kama 3 hivi... vipi, Aspirin ni sawa au?
 
Bado ni potential, nilikua nasubiri niulize ulize kwanza nisije nikaingia anga za wenyeji. Mimi nimechaguliwa na ndugu Aspirin na niliona Kaizer kachagua watu kama 3 hivi... vipi, Aspirin ni sawa au?


OMG!!! Mwali ODM (I never call him by Asprin) is perfectoooo!!! lol.... And he is my Darling Shem.... a wonderful Man with a lot of Madhaifu, BUT if he has fallen for you then heaven will be here on earth... Nakushauri... Jiandae Challenges, (anapenda na ku-appreciate saana the opposite sex if you know what i mean....lol) Enways he is so imperfect but Man enough who for a True woman wa Kiafrika... A perfect Man!!

Huyo bana ni wakaribu saana na Kipenzi changu Kaizer... Nakutambulisha rasmi Kaizer aka Sweetie ndo ananichanganya akili at the moment...and i think it will be forever pia (as you have told me kataja watatu - hivo pata picha ndo typical ODM type....) hapa tayari I am MAD.... Kawataja akina nani hao??
 
Bado ni potential, nilikua nasubiri niulize ulize kwanza nisije nikaingia anga za wenyeji. Mimi nimechaguliwa na ndugu Aspirin na niliona Kaizer kachagua watu kama 3 hivi... vipi, Aspirin ni sawa au?

Mwali are serious?
kama sijakosea wewe utakuwa kwenye namba 10 au zaidi,
jipange upya mwali wangu.
 
Weye ntoto kwani hukufundwa? Maswali kama hayo ya ashadii unajibu 'sikumbuki vizuri'! Hebu rudi ndani na zile shanga ulizopewa urudishe kwanza tuanze upya! Unataka kutuletea balaa! Weeeh mwali!

Wifi nakusalimia tu,nakuja huko for bfast,nimejikaribisha
Bado ni potential, nilikua nasubiri niulize ulize kwanza nisije nikaingia anga za wenyeji. Mimi nimechaguliwa na ndugu Aspirin na niliona Kaizer kachagua watu kama 3 hivi... vipi, Aspirin ni sawa au?
 
Weye ntoto kwani hukufundwa? Maswali kama hayo ya ashadii unajibu 'sikumbuki vizuri'! Hebu rudi ndani na zile shanga ulizopewa urudishe kwanza tuanze upya! Unataka kutuletea balaa! Weeeh mwali!

Wifi nakusalimia tu,nakuja huko for bfast,nimejikaribisha



Wifi King Missed you BIG time.... Naona sasa nitaumwa....lol.... Breakfast najua umekuja home ukakuta sipo... Sorry...
 
Missed u BIG time too wifi darling! Halijaharibika neno,nilikuta sweetie wako ndo anatoka nikamuachia ujumbe. Nimecheza na wapwa zangu nikajihudumia nakuondoka. Maisha ya kiswahili raha kweli.

Wifi King Missed you BIG time.... Naona sasa nitaumwa....lol.... Breakfast najua umekuja home ukakuta sipo... Sorry...
 
Weye ntoto kwani hukufundwa? Maswali kama hayo ya ashadii unajibu 'sikumbuki vizuri'! Hebu rudi ndani na zile shanga ulizopewa urudishe kwanza tuanze upya! Unataka kutuletea balaa! Weeeh mwali!

Wifi nakusalimia tu,nakuja huko for bfast,nimejikaribisha
Najivunia sana wewe kuwa mke mwenzangu hujui tu. Nimecheka sana hapo pa mwali arudishe shanga..kha ni kwamba walikosea kumpa au? Isijekuwa kajivalisha mwenyewe huyu...lol.
 
OMG!!! Mwali ODM (I never call him by Asprin) is perfectoooo!!! lol.... And he is my Darling Shem.... a wonderful Man with a lot of Madhaifu, BUT if he has fallen for you then heaven will be here on earth... Nakushauri... Jiandae Challenges, (anapenda na ku-appreciate saana the opposite sex if you know what i mean....lol) Enways he is so imperfect but Man enough who for a True woman wa Kiafrika... A perfect Man!!

Huyo bana ni wakaribu saana na Kipenzi changu Kaizer... Nakutambulisha rasmi Kaizer aka Sweetie ndo ananichanganya akili at the moment...and i think it will be forever pia (as you have told me kataja watatu - hivo pata picha ndo typical ODM type....) hapa tayari I am MAD.... Kawataja akina nani hao??
Shem...............Khaa!

Haya maujiko mpaka mbichwa unataka kupasuka!!

Nadhani Mwali atakuwa amekuelewa!
 
Bado ni potential, nilikua nasubiri niulize ulize kwanza nisije nikaingia anga za wenyeji. Mimi nimechaguliwa na ndugu Aspirin na niliona Kaizer kachagua watu kama 3 hivi... vipi, Aspirin ni sawa au?
Bado una mashaka?
 
Weye ntoto kwani hukufundwa? Maswali kama hayo ya ashadii unajibu 'sikumbuki vizuri'! Hebu rudi ndani na zile shanga ulizopewa urudishe kwanza tuanze upya! Unataka kutuletea balaa! Weeeh mwali!

Wifi nakusalimia tu,nakuja huko for bfast,nimejikaribisha
Jamani si nimesema nataka kuuliza kwanza kabla ya kuamua? ila kusema ukweli he is nice... :A S embarassed:...
 
Back
Top Bottom