Mi niko hapa kusaka vimwana...
Mi niko hapa kusaka vimwana...
Usijali mamimito.... Mi niko na nyie wake zangu mpaka kifo kitutenganishe..... hakuna wa kunitenganisha na wewe Yummy na BADILI TABIA chini ya usimamizi wa Kongosho.
mchina huoDah! hiyo kitu mbona inaonekana laini sana
mimi nipo kuangalia watu wanachukuliaje dhana nzima ya mmu na kutoa ushauri ingawa kila mtu ana staili yake kwenye haya mambo
Mimi naona niko hapa MMU kufundishwa jinsi ya kupenda..manake sijawahi kupenda!
nimesema huwa natoa ushauri pia, ingawa kila mtu ana jinsi yake kwenye mmu; hujaona?wewe unaangalia tu na tabasamu lako huwa huchangii? huoni unawanyima wengine akili?