Mpaka huyu jamaa amalize hiki kipindi tutaona Movie nyingi sana! Nasikia eti kaenda UK kuhuzuria kiako cha uzazi wa mpango! Hivi waziri wa afya yuko wapi asituwakilishe mpaka jamaa aende???
Mbona hili si jipya. Kikwete anacheza rede na wajukuu zake pale ikulu, sembuse bao? Huyu mtu hafai kuwa kiongozi. Pale ikulu Nyerere alisema siyo sehemu ya majungu ama starehe, ila utashangaa Kikwete muda wote yupo anachungulia dirishani kuona nani yuko nje akacheze naye. Yaani hapo na hilo bao ndo kafika huyu mshikaji na msishangae akalala hapo hapo na kusahau kuwa huko ikulu wajukuu wanamsubiri kucheza rede. Huyu mtu, basi tu!
Hivi kutizama bao kunamfanya mtu awe mnyonge na kucheka bila sababu? Ebu angalieni jinsi kadamnasi la watu lilivyo na busara kumwangalia mshikaji akipoteza muda wa taifa. Badala ya kumtonya arudi kazini wao wanamchekelea!
ninachoweza kusema hapa ni kwamba utumwa ni urithi wetu.............sasa mtu anacheza bao na mke wake watu wazima mnatizama pemben mkikenua kenua tu......
MadameX with all due respect nakuomba uteme mate juu na umtake Radhi Putin na warusi, naomba usilitumie hilo jina vizuri. There is a wide space between them.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.