nimejiunga na JF muda si mwingi uliopita naanza kugundua kuwa nimekuwa teja wa jamvi hili kila siku napenda kupitia na kusoma wakati mwingine na kuchangia mawazo hamuoni kwamba nimeanza kuharibikiwa jee dawa yake nini
Nibaki au niondoke
nimejiunga na JF muda si mwingi uliopita naanza kugundua kuwa nimekuwa teja wa jamvi hili kila siku napenda kupitia na kusoma wakati mwingine na kuchangia mawazo hamuoni kwamba nimeanza kuharibikiwa jee dawa yake nini
Nibaki au niondoke