HIVI mAKONDA NAYE NI MWEKUNDU?
Yaani hatimae tumeungana na makonda kwenye ushabiki.!!! Hii dunia ni tambara bovu.HIVI mAKONDA NAYE NI MWEKUNDU?
michezo ni nembo ya upendp duniani ila kama msemo wa Bello kitu ambacho mwanasiasa anasema kweli ni jina lake tu usishangae kesho Makonda akatinga na jezi ya YANGAYaani hatimae tumeungana na makonda kwenye ushabiki.!!! Hii dunia ni tambara bovu.
Hah hah hah hah, never undermine the power of soccerYaani hatimae tumeungana na makonda kwenye ushabiki.!!! Hii dunia ni tambara bovu.
Unajua huu mchezo una magical power ya ajabu sana. People forget the enmity they have because of soccer miraclesexactly, even the worst dictator like Hitler loved soccer
Mmatumbi ni mtu mweusiSijakuelewa mkuu..nani mmatumbi?
aswaaaaaaaaaaaaBasi Dr. Mwaka atakuwa shabiki wa Yanga
Dah, huu ukaaji huuView attachment 378594
Mimi sikubaliani na hili, Makonda SI mshabiki wa Simba
Hapa anatuzuga tu, huyu ni Yanga