Selemani Semunyu kipindi dakika 45 ITV hautendi haki!

Kila kitu kinaanzishwa kwa malengo yake. Yawezekana kipindi chake kimewalenga hao unaowalalamikia. Kama vipi anzisha kipindi chako na wewe
 
​Mambo ya ukuu wa wilaya hayo anautafuta kama muhingo rweyemamu na kibonde
 
Kila kitu kinaanzishwa kwa malengo yake. Yawezekana kipindi chake kimewalenga hao unaowalalamikia. Kama vipi anzisha kipindi chako na wewe
Lakini kila mwishoni mwa kipindi huwa anahamasisha watu kutoa MAONI,nadhani katika kuboresha kipindi,kama hataki aseme ,maoni sasa basi na maudhui na malengo ya kipindi haya,hatutomsumbua tena..kiukweli naona kipindi kinapwaya!
 
huyu jamaa namshauri awe ana waleta viongozi wa upinzani na watu wakamaida katika jamii ili kukifanya kipindi kiwe na mvuto na sio kila siku ni magamba 2
 
Kila siku ni Membe, Wassira na Sitta na baada ya hapo ni Wassira, Sitta na Membe tena...kiufupi mtu kama Membe anahonga ili afanyiwe mahojiano, maana kila baada ya tuhuma inayomhusu utaona amejitokeza kwenye dk.45 za Semunyu!
 
Ndugu yangu nakuomba sana usilitasje hilo jina la huyo kanjanja huku kwenye baraza letu.ni mtu mwenye njaa na ufinyu wa mawazo kama sio anatumiwa.haiwezekani kila akimwita membe anamuuliza kuhusu kugombea urais wakat waliotafuna hela za rada hawaulizii.mbona hamuulizi kuhusu wajamnja waliokula hela za safari za rais?
 
Pengine analipwa kitita cha kutosha kwa kufanya hivyo, hawahoji nyie, mtampa nini hasa?!
Ndugu yangu Selemani Semunyu,kwa nini huelewi,tumeshakushauri mara nyingi kuhusu hicho kipindi chako,kwamba kuhoji hao viongozi wa kiserikali inatosha,jaribu kuwapa watu wengine nafasi ili kubalance stories na kupata taarifa zingine,kila siku ni Wasira na hali ya kisiasa nchin,mara Nagu na Wawekezaji,mara Joka la mdimu na harakati zake za Urais,2015,.INATOSHA..leta makundi mengine sasa mfano Mawaziri vivuli wa CDM,NGO za kisiasa na kiuchumi na hata wachumi....
 
semunyu alikuwa gateman wa membe awali.Si mnamuona hana hata chembe ya sifa za muongoza mjadala achilia mbali mtangazaji
 
Watangazaji wa ITV huanza na kuigiza,
no wonder performance yao iko ivo
 
Kila kitu kinaanzishwa kwa malengo yake. Yawezekana kipindi chake kimewalenga hao unaowalalamikia. Kama vipi anzisha kipindi chako na wewe

DK 45 ni Tuambie No.2 ya TBC1 kila Alhamis, huku ITV ni kiini macho, kule TBC si walikuwa wanauliza maswali live wakakimbia wakaona waanzishe dk 45 ili waweze kuedit
 
Kaazi kweli kweli, alipoona anasifiwa kwa kupokea wageni getini na kuwahoji vizuri kabla ya kuwaingiza ndani akaona bora akasomee Uandishi wa habari ili aanzishe kipindi cha kuwahoji pia?!, basi bora angejiendeleza kwenye ishu za ulinzi tu, awe hata kanawork kama askari ama bodyguard, kakiweza!
semunyu alikuwa gateman wa membe awali.Si mnamuona hana hata chembe ya sifa za muongoza mjadala achilia mbali mtangazaji
 
kacharimbe kacharimbe kacharimbeeeee!!!!!!!!mbona unanuka harufu mbaya ya kutumika jisafishe ndugu,na usikubali kutumika kama kamanda makengeza na gweshwi lake la polishwi la kutwiii shwaria bila shuruti.
 
Na nyie nanyi hamjui vipindi vya kuangalia? J3 kuna Jenerali Ulimwengu on Channel ten
 
Ndugu yangu Selemani Semunyu, kwa nini huelewi, tumeshakushauri mara nyingi kuhusu hicho kipindi chako, kwamba kuhoji hao viongozi wa kiserikali inatosha, jaribu kuwapa watu wengine nafasi ili kubalance stories na kupata taarifa zingine, kila siku ni Wasira na hali ya kisiasa nchini, mara Nagu na Wawekezaji, mara Joka la mdimu na harakati zake za Urais,2015, INATOSHA...leta makundi mengine sasa mfano Mawaziri vivuli wa CHADEMA, NGO za kisiasa na kiuchumi na hata wachumi....

labda ni maelekezo toka kwa wakubwa,,,,na huenda wanakilipia serikali ila me na wewe hatujui,,,,,wanajua kupitia tbc hakuna atakayekiangalia,,,,,,ila hawez kusema kama mchakato uko hivo,,,pale wanatumia kama jukwaa la kumwagia sera na propaganda zao,hao watu wa NGO na mawaziri vivuli watumie KIPIMA JOTO CHA MASAKO
 
DK 45 ni Tuambie No.2 ya TBC1 kila Alhamis, huku ITV ni kiini macho, kule TBC si walikuwa wanauliza maswali live wakakimbia wakaona waanzishe dk 45 ili waweze kuedit

kweli tuambie kimekufa!!!!!!!duh na kutoangalia tv nako kuna mambo yake,,,,kilikua usiku by saa 3,,,,
 
kweli tuambie kimekufa!!!!!!!duh na kutoangalia tv nako kuna mambo yake,,,,kilikua usiku by saa 3,,,,

yaani bi balaa hakina hata mvuto siku hizi hadi wanahojiwa watoto wa nursery school, kinaboa sana
 
Back
Top Bottom