King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,603
- 68,514
Anawasilisha mawazo binasfi kuhusu sheria mpya za SSRA haswa fao la kujitoa kwenye mfuko husika.
Kwa kweli leo nimeamini huyu mama huwa anatoa conclusion kinyume na matokea kabisa. Ingawa nimefurahi kuona sheria itapitiwa upya, ILA TO BE SINCERELY, waliosema HAPANA ni wengi kuliko waliosema NDIYO
Kwa kweli leo nimeamini huyu mama huwa anatoa conclusion kinyume na matokea kabisa. Ingawa nimefurahi kuona sheria itapitiwa upya, ILA TO BE SINCERELY, waliosema HAPANA ni wengi kuliko waliosema NDIYO
Labda wamemuwahi tu. Lakini kama nilielewa vizuri, Mnyika ilikuwa alete muswada wa kubadili sheria hiyo na sio hoja ya kujadili mifuko ya jamii.Mh. Mnyika si ndiye alikuwa akiandaa hii hoja imekuwaje tena?
Mh. Mnyika si ndiye alikuwa akiandaa hii hoja imekuwaje tena?
Afadhali. Sasa wataijadili kwa adabu hadi povu liwatoke huku lengo lao likiwa kumpiga bao Mnyika!
Wapuruzi kabisa hawa!
Kwanini hadi watu wagome mitaani na kutishia kuondoka kazini ndipo waonew uzito?
NDIO ubovu wa sheria zinazobagua cadres!
Bunge letu linaendeshwa na matukio zaidi kuliko uzalendo.
Silly season.
Hata mimi nimefurahi, ninachotaka ni matokeo mazuri tu na si political gain itakayopatikana kwa Magamba. Maana ingepelekwa na Mnyika wangeweza kuipinga!