Sikonge tunaweza kukufuata lakini inabidi utueleze jinsi gani ya kufuata hiyo njia yako, na imebidii nikuulize hivi kutokana na maandishi yako ya jana ambayo nilikueleza faida za kupigania tunachopigania ni Sikonge na maeneo mengine ya njii hii, tusije tukalaumiana ooh kwetu hakuna umeme, ohh hakuna barabara, umeme au investor or sisi tunalima tumbakuu , watu wamechongeka nk nk . hatuna wasomi nk nk.Nafikiri hapa tukubali tumeguke.
Vyama vingi vya upinzani au wapigania uhuru walikuwa wanagawanyika katika makundi mawili. Moja ni lle la military wings na jingine ni Political Wings.
Kuna wengine mnaona kuwa mabadiliko ya kweli yataletwa kwa KUPIGA sana kelele. Haya makele wengine yametuchosha na tunasema sasa inabidi kubadilisha mwelekeo wa mapambano. Nyie mnaamini kuwa hii njia inafanya kazi ila wengine tunaona kama vile Fisi anaumezea na kuupigia makelele mkono wa binadamu ukatike.
Inawezekana mko sawa, na endeleeni kupiga kelele. Mie najipelekeka kwenye kundi la watu wanaosema 'imetosha' na sasa ni kuanza kupambana nao direct. Kama ni maandamo au chama cha upinzani. Hakuna haja ya wenyewe kwa wenyewe kuanza kutukanana. Kama unafanya hivyo basi uko kwenye pay roll ya RA.
So nasubiri mkakati wako ilinione unafaa au niendele kupiga kelele kwa sasa.