awena el-riyami
Member
- Aug 13, 2012
- 6
- 1
Jaman vp khs vyuo vya algeria vizuri au?
vizuri jiandae kwenda kupoteza mwaka mmoja kusoma kifaransa
Naomba nijue namna ya kuapply sholarship algeria
huko umepotea jembe embu tafuta humu ndani kunapost moja wenzako wa algeria wa mwaka jana waliitoa wanailalamikia heslb kuwasahau na kutowajali yaani wanakufa njaa huko na madeni sikukatishi tamaa ila kama heslb ndo wana wafadhili kabla haujaenda jipange vyema..
Yaani tunapeleka wanafunzi wetu kwenda kusoma Algeria?
Wow!!
Utaratibu huo ni wa zaidi ya miaka 10 sasa
Shameful!
Unless it's an exchange program....
Wala si exchange program. Tena wapo wanapewa scholarship na serikali ya Algeria na wapo wa bodi ya mkopo ya Tanzania
Na wanakwenda wengi kwa mkupuo
Duh! Mwishowe tutaanza kupeleka wanafunzi Chad, University of N'Djamena.
Wewe umesoma huko?
Sizungumzii kuhusu heslb nazungumzia elimu ya algeria nzur au sio... Basii
Yaani tunapeleka wanafunzi wetu kwenda kusoma Algeria?
Wow!!
Sasa wewe usisikilize tahadhari yangu kama haujaenda kuwa house boy kwa hao wahindi waafrica huko algeria..lol