Habari waungwana,
Nina ofisi yangu ya biashara huku mikoani nataka nijiunge na moja ya kampuni hizo Max-Malipo au Selcom paypoint.
Naomba mnijuze ipi ina faida zaidi kwenye vocha, LUKU na huduma nyinginezo
ipi yenye customer care nzuri na yenye future ya kuenea zaidi kwani kampuni za bongo hazichelewi kufa ukabaki na mashine.
Gharama za kujiunga na any hidden cost
Natanguliza shukrani
Nina ofisi yangu ya biashara huku mikoani nataka nijiunge na moja ya kampuni hizo Max-Malipo au Selcom paypoint.
Naomba mnijuze ipi ina faida zaidi kwenye vocha, LUKU na huduma nyinginezo
ipi yenye customer care nzuri na yenye future ya kuenea zaidi kwani kampuni za bongo hazichelewi kufa ukabaki na mashine.
Gharama za kujiunga na any hidden cost
Natanguliza shukrani