Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,059
- 1,568
Mmmh hili tatizo la habari za uzushi linahitaji kutazamwa upya, huku kwetu nikiwapa. Taarifa za mtandaoni huwa wanauliza source nikitamka ni jf basi nakuwa nimekata kiu yao sasa naanza kupata woga baada ya viwavi kuvamia jamvini. TAFADHALI MODS SHUGHULIKIENI HILI JAMBO