Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Jamaa kaamua kuzushia wenzake vifo kasahau kuwa na yeye ni marehemu mtarajiwa...pole sana Mbunge Selasini, huyu ni muhuni tu alioleta huu ujinga hana uhusiano wowote JF...usirudie tena kuponda JF wape pole wagonjwa.
Ameniudhi sana eti habari kaisoma jf halafu kaenda kuiponda jf kwa fb. Upuuzi ulioje!