mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,652
- 1,238
Mimi kero yangu ni kuhusu matukio ya kiharifu yanayofanywa na raia mbele ya nyuso za askari pale daraja la Selander bridge,hivi ni kweli vibaka wamefikia kudharau jeshi la polisi kiasi hiki?
Au ni mbinu za mapolisi kujiongezea kipato? sehemu ambayo inastahili ulinzi kama ile ndio sasa imegeuka kuwa chimbo la vibaka na kituo cha kusulubisha watu na mali zao,bora mtuambie kuwa na hicho ni kitengo cha polisi cha kupunguza mali za watu!!
Au ni mbinu za mapolisi kujiongezea kipato? sehemu ambayo inastahili ulinzi kama ile ndio sasa imegeuka kuwa chimbo la vibaka na kituo cha kusulubisha watu na mali zao,bora mtuambie kuwa na hicho ni kitengo cha polisi cha kupunguza mali za watu!!