Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
Habari wana jamvi,
Ni mara ya kwanza kuitwa hawa watu kwa ajiri ya Interview. Ila kile kilichojitokeza jana kikiachwa kiendelee tutakuwa tunaendeleza ugonjwa uleule na kupoteza dhana nzima ya kuanzishwa kwake.
Nilibahatika kuingia kwenya mtihani wao wa maandishi ukilinganisha nawale ambao hawakupata nafasi ya kufanya mtihani huo, kwasababu zisizo na msingi za kukosa vyeti halisi vya elimu zao. Ikiwa matokeo ya mfumpo mbovu wa vyuo vyetu.
Kinachonisikitisha ni namna gani wanasahihisha hiyo mitihani yao kupata washindi kwa ajili ya Oral interview. Kwa mtihani ambao nimeufanya sijaona tatizo na kosa la kunifanya nisirudi kwa Oral interview.
Na sisitiza hii taasisi iangaliwe kwa macho mawil.i Nachelea kusema kuwa kuna dalili za Rushwa, Makisi za huyu kupewa mtahlniwa mwingine, Kuna ukabila.
Taasisi ichunguzwe kabla watanzania hatujapoteza imani nayo. Kwawale wamepata ajira kupitia taasisi hii kwa kubebwa watabeza ushauri huu.
Kwa wale waanga kama mm tujipe moyo tumaini linakuja.
IF YOU CANNOT KILL YOUR, BUY HIM
Ni mara ya kwanza kuitwa hawa watu kwa ajiri ya Interview. Ila kile kilichojitokeza jana kikiachwa kiendelee tutakuwa tunaendeleza ugonjwa uleule na kupoteza dhana nzima ya kuanzishwa kwake.
Nilibahatika kuingia kwenya mtihani wao wa maandishi ukilinganisha nawale ambao hawakupata nafasi ya kufanya mtihani huo, kwasababu zisizo na msingi za kukosa vyeti halisi vya elimu zao. Ikiwa matokeo ya mfumpo mbovu wa vyuo vyetu.
Kinachonisikitisha ni namna gani wanasahihisha hiyo mitihani yao kupata washindi kwa ajili ya Oral interview. Kwa mtihani ambao nimeufanya sijaona tatizo na kosa la kunifanya nisirudi kwa Oral interview.
Na sisitiza hii taasisi iangaliwe kwa macho mawil.i Nachelea kusema kuwa kuna dalili za Rushwa, Makisi za huyu kupewa mtahlniwa mwingine, Kuna ukabila.
Taasisi ichunguzwe kabla watanzania hatujapoteza imani nayo. Kwawale wamepata ajira kupitia taasisi hii kwa kubebwa watabeza ushauri huu.
Kwa wale waanga kama mm tujipe moyo tumaini linakuja.
IF YOU CANNOT KILL YOUR, BUY HIM