Usilalamike, next time cha kufanya uki-apply nafasi ya watu 3 wakaita 100 usiende, kama ndiyo unafikiri ni kupotezeana muda. Uwezo wako wa kufikiri na kuchambua mambo ndio unaokufanya ulalamike. na kama hutabadili namna ya kuchambua mambo, interview zote utakuwa unabigwa chini. Ningekuwa natafuta nafasi yoyote ya kuajiri nisingekuajiri kwa kuwa unaonyesha uwezo mdogo wa kuchanganua mambo.
Anaogopa competition!