bab pole ushachelewa tenaduuuuh!! hizi nafasi za maliasiri zilitangazwa lini wanaJF?
Nashukuru sana kwa msaada wako mkuu,,ubarikiwe
Kwa kweli wana JF tunapendana, tunapeana madili ili watu tutoke, safi. Lakini mtu anayetoka Mwanza aje Dar ajitegemee nauli, chakula na malazi na mambo mengine; alafu mwisho wa sku kazi yenyewe hapati!! Jamani Serikali tuoneeni huruma tupeni walau Ofisi za Kanda ili kila nafasi inapotoka isiwe kwa wana Dar peke yao bali kwa Watanzania wote. Tuache ile dhana ya Serikali kuitwa ina vichwa vya wendawazimu!!!!!
Hizo anza kuzisikilizia kuanzia mwezi wa saba mwishoni mpaka mwezi wa nane kwenye tarehe za mwanzoni!duh, mbona fani zingine hatuzioni hapa? au zile ajira zaidi ya 2000 zilizotzngazwa hazimo kwnye interview hii? mwnye idea please naomba majibu