Kama hii picha haijapachikwa basi ni wanafunzi wa shule msingi hao, Nape anawafundisha kuimba nyimbo za TANU yajenga Nchi
Kwa habari zilizopata kutoka kwa rafiki yangu Sumbawanga mjini watu walikuwa wachache sana ni aibu tupuHiyo picha imechakachuliwa.
Nimeona TBC1 kulikuwa na watu wengi wenye umri mkubwa tena walikuwa wamevaa nguo za CCM. Wengi wa walokuwa wamekaa mbele walikuwa kwenye viti. hivo hiyo si picha halisi ya laela.
tukubali jamaa alipata watu wengi. Sababu ya kupata watu wengi ni kwamba amefanya mkutano wake kwenye eneo la ujenzi wa barabara ya Tunduma Laela ambako watu wamefurahi kupelekewa miundombinu hivyo kuhudhulia kwa wingi wakidhani kuna kingine zaidi ya hiyo barabara.
Acha porojo lete hapa picha asilia basi. Unajua kuchakachua picha wewe? picha hii ni asilia. Iko kwenye picha zake za facebook. Tembelea uone mwenyewe.Hiyo picha imechakachuliwa.
Nimeona TBC1 kulikuwa na watu wengi wenye umri mkubwa tena walikuwa wamevaa nguo za CCM. Wengi wa walokuwa wamekaa mbele walikuwa kwenye viti. hivo hiyo si picha halisi ya laela.
tukubali jamaa alipata watu wengi. Sababu ya kupata watu wengi ni kwamba amefanya mkutano wake kwenye eneo la ujenzi wa barabara ya Tunduma Laela ambako watu wamefurahi kupelekewa miundombinu hivyo kuhudhulia kwa wingi wakidhani kuna kingine zaidi ya hiyo barabara.
Hiyo picha imechakachuliwa.
Nimeona TBC1 kulikuwa na watu wengi wenye umri mkubwa tena walikuwa wamevaa nguo za CCM. Wengi wa walokuwa wamekaa mbele walikuwa kwenye viti. hivo hiyo si picha halisi ya laela.
tukubali jamaa alipata watu wengi. Sababu ya kupata watu wengi ni kwamba amefanya mkutano wake kwenye eneo la ujenzi wa barabara ya Tunduma Laela ambako watu wamefurahi kupelekewa miundombinu hivyo kuhudhulia kwa wingi wakidhani kuna kingine zaidi ya hiyo barabara.