chadema ninyi hamna jema kwenu? Kizuri mkifanyie burdaaaaaani wakifanya wenzenu ccm mnaweweseka acheni siasa za vyoo ya shimo angalau kuweni na siasa za chinese toilet, mlitaka ccm walale usingizi ili nyie mpate mteremko...?
Ccm itaendelea kujiweka sawa kila kukicha mpaka kieleweke na nani ataamua ni mpiga kura ndani ya sanduku la kura 2015.
Nape warambiiiiiiisheeeeeeeeeeeeeee, nchemba warambiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiisheeeeeeeeee.
Kidumu chama cha mapinduuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuzi
CHADEMA NINYI HAMNA JEMA KWENU? KIZURI MKIFANYIE BURDAAAAAANI WAKIFANYA WENZENU CCM MNAWEWESEKA ACHENI SIASA ZA VYOO YA SHIMO ANGALAU KUWENI NA SIASA ZA CHINESE TOILET, MLITAKA CCM WALALE USINGIZI ILI NYIE MPATE MTEREMKO...?
kadi za kuchonga hizo!
View attachment 31362
wewe lazima utakua fisadi au una ulimbukeni, kwakweli mimi siwatetei chadema ila hali ya nchi imekuambaya sana kiasi kwamba nikiona m2 tena kijana akisema ccm oyee naweza nkamchoma kisu! Ndugu yangu wewe uko dunia gani? Je unawatakia wajukuu zako maisha mazuri? Hao vigogo wa ccm ikipanda bei ya sukari, mafuta, unga etc wanachekelea bdala ya kufikiria jinsi ya kupunguza ukali wa maisha, ni ma fakeni wote wanaoikenulia ccm na vgogo wa ccm pia faken. Sasa hivi watanzania wamekua na jazba na hao mafakeni. Eee mungu kama unaipenda Tanzania mchukue kikwete hata kesho.....Amen.
Hivi ni kwanini hawa watu wa magamba wana kuwa waongo kiasi hiki jamani? Kuna picha hapa naomba mziangalie kwa umakini inanitatiza sehemu kadi watu wanaporudisha na mkutano unakofanyika. Angalia mwana mama anapopokea kadi akipokea toka kwa nape na mazingira yake kisha angalia sehemu nape alipo anapo fanya mkutano tofauti.
Alafu unasema kulikuwa na maelfu ya watu mbona watoto wengi picha ya kwanza jamani kuweni wakweli.
Pia wamevuna kutoka chadema tu hakuna wanachama wa chama kingine walirudisha kadi jamani? Nape tusaidieni jamani
Robert G. Ingersoll once said, ''It is a thousand times better to have common sense without education than to have education without common sense''. It may be a long time saying but it appears to be live in our society today. I don't think I can say much to those ''fake cards holders'', the result will be self explanatory in 2015 when CCM will be shocked with the real number of their members on the ballots.
''You can fool some people sometime, but you can't fool all the people all the time. So now you see the light, stand up for your rights''
Bob Marley