Kuna sekondar moja iko mjini kahama shinyanga,jna limehfadhiwa.Yaani ile sekondary ni ya mataira director wa shule elimu yke darara la pili,mkurungenz wke hakusoma,mkuu wa shule ana digrii lakin hana maamuz yoyote hta km mwanafunz hafai ktk taaruma,second master hana sfa wala uwezo na huwa anavuta bng ktk vyoo vya walimu.Yote tisa + 1=91,academic & ndio wenye busara.Tatzo hawana maamuz,wenye maamuz ni mwasibu,ambaye nae hajasomea uhasibu.