njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 12,366
- 5,501
Nahisi wewe ni mmojawapo wa wadau wa masuala nyeti ya nchi hii,basi rekebisheni kwanza SYSTEM ya ELIMU.Hiko unasema ni kweli lakn ukweli ni kwamba si kwa mfumo wa elimu wa hapa Tanzania.
Lakn pia bado nasisitiza kuwa pamoja na umuhimu wa elimu inaweza isisaidie sana inapokuja masuala ya uongozi kwani tuna mifano hai mingi ambapo wale walioenda vidato na mapihechidiii wanaboronga zaidi na wale wenye elimu ndogo wanafanya vema....Tuangalie uwezo wa mtu na si vidato na ikiwezekana tuache wivu wa kijinga...kama mtu anafanya vizuri katika uongozi au fani yoyote basi aendelezwe.Siku hizi elimu ipo kila mahala.
hapana Zion Daughter aim no body! .. rather than a normal citizen .. but nakubaliana na mawazo yako naamini wahusika wana pita JF na wanasoma mawazo ya wadau humu