Mkuu wa kaya alisomea sec gani?
malangali secondary school-iringa
1. Mark mwandosya
2. Ibrahimu kaduma
3. Joseph mungai
4. Late daudi mwakawago
5. Late sapi mkwawa
6. Late adam sapi mkwawa
7. Philemon mgaya-was inspector general of police
8. Mathew laban luhanga
9. THOBIAS ANDENGENYE- WAS RPC ARUSHA SASA YUPO MAKAO MAKUU
10 LINUS SINZUMWA-RPC SINGIDA
11. General mboma
ni tabora boys, na pugu sec school
Mzumbe sekondari bila shaka, wala bashasha.
Kuna 1. Mbaraka Mwinyishehe (mwanamuziki nguli wa Tanzania).
2. Edward Hosea (Mkurugenzi Takukuru)
Orodha inaweza endelezwa...
Janja janja school, ndyo maana unaona viongoz weng hawajielewi
Mkuu wa kaya alisomea sec gani?
1.tabora boysshule makongo amesoma henry joseph...