Taarifa kutoka kitengo cha habari Hq Cuf zinaonyesha kuwa Seif ataongea na Media kesho huko Pemba na Jpili anaongea na wanachama Dsm.Hali ya Seif kisiasa ni mbaya baada ya Hamad Rashid kuanza kueleza yaliyojili.Seif amekatisha Ziara Lindi na Mtwara na sasa baada ya kusoma magazeti na kuona hali halisi ya tuhuma ameamua kukimbilia Pemba ambapo atamchafua Hamad Rashid kabla ya kikao cha yeye na wanachama Dsm.Mtu wa karibu na seif anasema Seif anakwenda waandish wa habari Bara kabla hajatolea maelezo ya tuhuma