Unga wa Kitarasa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 398
- 99
mambo vp pipoz... daa ebana jana nilikuwa nacheki muvi moja ya kibongo daa dzaini ka nkashindwa kuelewa hivi ni kwanini karibu muvi zote za kibongo wasanii wanaokuwa wamepangiwa waigize kama walinzi lazima wajifanye kama vichaa coz cyo muvi hyo tuu kuna muvi kibao nimecheki na nime kiona mara kibao hicho k2.....embu tujuzane kuhusiana na hiki kitu