Sehemu ya kiwanja kinauzwa

Somoleo

Member
Sep 22, 2010
13
1
Kuna sehemu ya kiwanja inauzwa.

mahali: UBUNGO MSEWE (kuelekea kanisa la ROMAN CATHOLIC - MSEWE ukitokea Morogoro road ukapitia pale KIBO)
ukubwa: mita za mraba 1000 (urefu 40m x upana 25m) zinauzwa
umeme: upo (nguzo kiwanjani - huhitaji kuongeza nguzo, bali kulipia na kuwekewa mita ya TANESCO kama utajenga)
maji: yapo (DAWASCO - kuna dira ya maji kiwanjani na maji hutoka kwa mgawo kama sehemu nyingine)
barabara: inafika mpaka kiwanjani na sehemu zote za majirani
majirani: tayari wamejenga nyumba zao na wanakaa hapo
bei: milioni 37 (TShs. 37,000,000/=)
manufaa: unapata kiwanja karibu na maeneo ya mjini; unaweza kupita njia ya chuo kikuu kuelekea katika shughuli zako (kukwepa foleni ya magari pale UBUNGO mataa)

mwenye kuhitaji: simu namba: 0788-230578
 
Sijui watu mna laana sasa ukiuza 37!! serikalini kodi unatoa ngapi?!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom