Hapa tunagandamiza siasa tu ,sasa hii habari labda ukaipeleke kunakohusika ,hali zetu kwa upande wangu ni hoi bin taaban ukiniletea sehemu hizo naona kama unanizalilisha na umasikini wangu ,samahanai lakini inabidi niseme ili dongo liondoke rohoni ,ngoja mpaka ukisikia tunachimba mafuta ndio utuletee labda tutaweza kupanda hata zile meli za kitalii na kuzurura nazo.
Wameweka The Statue of Liberty, Big Ben, the Petrona Towers ba Burj al Arab lakini hawajaweka The Imperial Gardens (Tokyo) ?
Usitegue watu mbavu zao. I know u r kidn.Sijaiona Cocobeach-lol!
Au wameisahau?
Pole Mwiba..ila sasa dunia haiko fair maana siyo wote wenye njaa kama wewe!
Tatizo masurufu ya hayo mafuta yatakufikia? au watafaidi wenyewe? uwe mwangalifu udai chako kabla wajanja hawajawahi..
Ndio maana yake, hapa ni siasa tu ,hayo matembezi na majumba anasa ambazo kwa Mtanzania anaepigana na maisha yake na ya watu wake ,hatoweza kupata wasaa wa kuzuru au kuangalia mambo ya watu ,kama ni uzuri basi hakuna sehemu nzuri kama Tz na wanajenga hapo katikati ya mbuga ,hivi waache yote hayo waje huku kusiko kuzuri unawafanya wao hawana akili ,waje waishi katikati ya mijinyama isiyotabirika ,si wangekaa huko kwenye mahoteli ,wacheni hizo ,watu wamesema na wanaendelea kusema kuzuri,kutamu ni nyumbani tu hakuna kwengine ndio maana hata kukitokea patashika mtu anakimbilia nyumbani na kujiona yupo safe ,japo nyumba ni mbavu za mbwa, tujitahidini kuepuka mawazo mtindi mafisadi watazidi kutuona tunalewa tende.
Hivi unaona huko kwenye hayo majumba ndio sehemu kuzuri kabisa duniani ,ama kweli tunatoka mbali.
kuzuri ni nyumbani, lakini nyumbani wapi?
Hata hospitali, ili mradi uko na mke wako! lolSijaona mahala pazuri kuliko ninapokuwa na MKE WANGU.
Wala si uongo, katutegua mbavu kweli!Usitegue watu mbavu zao. I know u r kidn.
Hata hospitali, ili mradi uko na mke wako! lol
Kuzuri ni nyumbani, lakini nyumbani wapi?