Wanabodi.
Napeleka vijana wangu wawili shule wanasoma Arusha takaa siku nne, naombeni mniambie hotel gani nzuri nifikie bei iwe kuanzia $150 mpaka $200.
Naura spring!Nataka mjini mkuu!
Naura spring!
Huko pia ni nje ya mji. NN unapafaham kwa mromboo?Kwa Mromboo je?
Huko pia ni nje ya mji. NN unapafaham kwa mromboo?
Kwa Mromboo je?
Kwa Mromboo je?
Nataka mjini mkuu!