Na kweli, maana huwezi weka vigezo vya idadi ya bia anazokunywa wakati mpo kanisani.... Mtu ni yule ila anarespond tofauti kutegemeana na yupo maeneo gani..
e bana Mlimani City ndo mpango mzima... Pale unapata mchumba wa dizaini yoyote unayotaka... Mfano ni mi mwenyewe mke wa ukweli nilimpatia pale na sasa tuna mtoto na maisha ni matamu hakuna mfano... yaani nakwambia we wacha kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.